Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,138
- 31,885
Zitto Kabwe: Nilipokuwa nina mgogoro ndani ya CHADEMA Membe alinihurumia akataka kunipa Ubalozi wa Ujerumani!
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema wakati akiwa na mgogoro ndani ya CHADEMA huku ajitafakari kuanzisha chama, Mzee Membe alimuita akamwambia asihangaike Ubalozi wa Ujerumani uko wazi ataongea na Kikwete ili amteue awe Balozi wetu nchini Ujerumani.
My take: Tukiwaambia Zitto ni mtu wa system msibishe.
KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema wakati akiwa na mgogoro ndani ya CHADEMA huku ajitafakari kuanzisha chama, Mzee Membe alimuita akamwambia asihangaike Ubalozi wa Ujerumani uko wazi ataongea na Kikwete ili amteue awe Balozi wetu nchini Ujerumani.
My take: Tukiwaambia Zitto ni mtu wa system msibishe.