Zitto akataa posho ya mil. 238

Huko kwenye vyama vyenu, Nani mwenye uwezo wa kujitolea na kufanya Kama zzk.

Mbowe alisema gari la serekali silitaki na bado analitumia Hadi kubebea magendo kenya, lakini yeye kufanya hivyo ni sawa
 
Leta ushahid hapa unaoonyesha kafukuzwa na chagadema
 
Nimemuelewa Zito kuwa kusingekuwa na ".....fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa Sheria ...."
asingetoa hiyo misaada.
 
haa haa zitto anawachanganya sana wafuasi wake. hapa kasema atachukua.je zitto alipaswa kuchukua? mbona alijiuzulu ubunge? zitto ataendelea kudanganya misukule yake mpaka lini? zitto ni laghai tu hana jipya.
 
Nimemuelewa Zito kuwa kusingekuwa na ".....fedha yote ya ziada ya kile ninachostahili kwa mujibu wa Sheria ...."
asingetoa hiyo misaada.

kwa maoni yangu zitto hapaswi kuchukua hata senti tano kwa malipo ya wabunge. mbona alishajiuzulu ubunge? anachukua kwa msingi gani? huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine
 
Which line is he in?
1. Zitto atapokea posho hiyo, or
2. Zitto atakataa posho hiyo
Hiyo Habari ya kwamba atatumia vipi is not a current up front business!
 
Kama kawaida huyu kijana ni mtu wa kutenda si maneno! Haya sasa wabunge wa UKAWA mufuate nyayo otherwise nyie ni wachumia tumbo tu kama wale wa CCM.

mkuu lipi hapo la kumuiga zitto? labda unafiki tu.wa kuchukua mafao yasiostahili hata kidogo...
 
Which line is he in?
1. Zitto atapokea posho hiyo, or
2. Zitto atakataa posho hiyo
Hiyo Habari ya kwamba atatumia vipi is not a current up front business!

mkuu kiukweli zitto kakiri atapokea malipo hayo haramu. nimeamini wanasiasa wakiaminiwa hawaaminiki. ule uzalendo anaohubiri ni maigizo tupu.
 

haa haa hilo nalo neno mkuu..n
 
Kwa upande wa Upinzani hakuna hata mtu mmoja anayeweza kufikia hata robo ya akili ya Zitto. well done zitto.

Kuna zaidi ya taaluma 2600 duniani, ZZK ana akili ya kitu gani, ameinvent kitu gani hapa nchini au ni uzuzu wetu unaotusumbua sisi wapambe! Binafsi sio hiyo akili ya ZZK inayotajwa kila mara kuwazidi wanasiasa wenzake, ni wa kawaida bali mkakati wa kumpamba tu hata hivyo mpango unaelekea kufail.
 
taratibu mkuu zitto hakufukuzwa, zitto alijiuzuru hivyo malipo ni halali yake. kama nahisi alifukuzwa leta ushahidi

kumbe ukijiuzulu ni halaliyako kulipwa? tuwekee sheria inayoruhusu hilo hapa mkuu.
 

Zitto ni kiongozi tofauti sana. Anaendana sana mapendekezo ya katiba ya Warioba. Big up! Tupo pamoja nawe.
 

shukrani mkuu wangu...
 
Huyu Yuda Iskariote kumbe anachukua mafao? Huyu si alijiuzulu Ubunge? Anachukua mafao kama nani?

Huu ni ufisadi mkubwa kama ule wa akina Chenge.
 
Huyu tumeshamzoea mnafki na mzungumzaji kwa kile asichokitenda....wenye majina ya wafilisi nchi walitaja hadharan yeye kaweka kwapan majini ya uswisi...
Ni mtu ambaye analikana jambo sasa hivi baada ya dakika tatu analikubali...namfaninisha na ndezi yule mnyama ambaye akikoswakoswa risas hapa anakimbia baada ya sekunde mbili anarudi tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…