Zitto aiteta CHADEMA

Zitto aiteta CHADEMA

Huu ni ukweli japo ni mchungu.
Magufuli na Lowasa hakuna tofauti, ni ccm ileile.
 
Huu ni ukweli japo ni mchungu.
Magufuli na Lowasa hakuna tofauti, ni ccm ileile.
 
Aende kwao kongo atuachie nchi asitusababishie vita hapa kwetu Tz.
 
Zitto hana hoja kwa sasa anavizia vizia kama mnavyomuona kwenye picha yake amekaa kijanjajanja sana kama mpiga dili! Tunataka tuelezwe issues now mambo ya ufisadi isiwe agenda maana hakuna hatua zinachukuliwa so Zitto imekula kwako.
 
Watakuja hapa na matusi chungu nzima
Lakin all in all zito kasema la maana hapa

Wasituletee mambo ya kwenye stand ya chato (uharo)

Viva zzk
kweli uchaguzi mwaka huu ni wa kihistoria. haijawahi kutokea jukwaa kuchafuliwa kwa kinyesi cha mgombea urais tangu tumepata uhuru.
 
Kama kutembea shida, kuongea matatizo na kumbukumbu huna utafanya maamuzi magumu ya aina gani? Acha mbwembwe!!!!!
 
Zitto hana hoja kwa sasa anavizia vizia kama mnavyomuona kwenye picha yake amekaa kijanjajanja sana kama mpiga dili! Tunataka tuelezwe issues now mambo ya ufisadi isiwe agenda maana hakuna hatua zinachukuliwa so Zitto imekula kwako.

Nimecheka sana,,,,,,"kama mnavyomuona kwenye picha yake amekaa kijanjakijanja sana kama mpiga dili"
 
Msaliti anatafuta kick siku hizi apate attention maana tulishamsahau kama huyu kibaraka wa mafisadi yupo
 
Yeye mwenyewe fisadi...kwani ukibaraka huku ukilipwa sio ufisadi. Kwanini aliwasaliti Chadema. Aende zake huko asitufanye mabwege

Kama mwenyewe unajitambua ni mabwege sasa jamaa unamuonea hapa.
 
Chadema wanaishia pabaya mwisho wao october,,muda huu wanakumbatia ufisadi
 
Tatzo la ukawa wapo kimajungu zaid lakini wanatambua kabxa mafisadi papa wamewachukua wao.... October mtaelewa 2
 
Kama mwenyewe unajitambua ni mabwege sasa jamaa unamuonea hapa.

Hizi akili hizi, shule za kata zimeongeza matatizo ya kutotambua na kujitambua.

Soma upya hiyo sentensi, soma tena vizuri. Ni wapi nimesema najitambua? Je ni pale niliposema "ASITUFANYE".

Kweli akili ni nywele. Narudia tena asitufanye sisi mabwege na wewe Songambele usiwe mmoja wa mabwege, acha kukurupuka.
 
Back
Top Bottom