Zitto aiteta CHADEMA

Zitto aiteta CHADEMA

ZITOOOOOOOOOOOOOOOOO

MNAFIKIIIIII

MZEE WA SHOBO KWA CCMMMMMMMMMMM

FISADIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

MMBEAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

VP ANAOA LINI DEMU MTOTO WA MZEE WA RICHMOND???????

PUNGUZA UMBEA AKA TABIA ZA KIKE !!!!kwi kwi kwi
 
tatizo la zito huwa anaibua kashfa mbalimbali lakini huwa hamalizii hadi mwisho
 
ZITTO KABWE AMPONGEZA MAGUFULI

Kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe amesema mpaka sasa ACT ndicho chama pekee cha upinzani kinachoweza kuzungumzia ufisadi ambao ni tatizo kubwa la maendeleo nchini.Hata hivo anashangazwa na siasa za chadema ambapo kwa sasa chama hicho kinakumbatia mafisadi tofauti na hapo awali. Zitto anasema kati ya wagombea wote wa Urais, mgombea pekee anayechukia ufisadi ni DR Magufuli ambaye pia katangaza neema kwa kuanzisha kitengo maalumu cha kushughulikia mafisadi.


 
kwa hyo hata mgombea wake hamkubali awezi kutokomeza ufisadi bora wasingemsimamisha mgombea
 
zitto ni consultant wa TWAWEZA na hata kwenye kutangaza mali zake, ameweka wazi

Ulitegemea asipongeze taasisi inayomuongezea pesa?
 
ZITTO KABWE AMPONGEZA MAGUFULI

Kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe amesema mpaka sasa ACT ndicho chama pekee cha upinzani kinachoweza kuzungumzia ufisadi ambao ni tatizo kubwa la maendeleo nchini.Hata hivo anashangazwa na siasa za chadema ambapo kwa sasa chama hicho kinakumbatia mafisadi tofauti na hapo awali. Zitto anasema kati ya wagombea wote wa Urais, mgombea pekee anayechukia ufisadi ni DR Magufuli ambaye pia katangaza neema kwa kuanzisha kitengo maalumu cha kushughulikia mafisadi.



Zitto yupo sahihi,anajitambua kabisa.
 
Kupe hata Siku Moja Hauwezi Mtenganisha na Ng'ombe. Kifo Cha Ng'ombe Ni Kifo cha Kupe. Kufa Kwa CCM ni Kufa Kwa ACT-Wasaliti.
 
Unaanzisha mada kwa jambo alilosema Zitto? Huna la kufanya wala la kufikiri wewe. That person is political dead link kwa sasa. Anadandia Sandia mambo yanayo hit headlines ili aonekane kuwa yupo bado lakini kiuhalisia baada ya wafadhili wake wakubwa CCM kumtosa kwani hana faida kwao existence yake ni sawa na mwanga wa kibatari SAA sita mchana barazani
 
Zitto yupo sahihi,anajitambua kabisa.

anajitambua wakati hata mwaka haujaishaa alikuwa anamlilia huyohuyo fisadi akikatwa ahamie chama chake. hawa jamaa ukiwafuatilia utachanganyikiwa. bora utumikie taifa tu ktk nyanja tofauti na siasa mkuu
 
Magufuli ndiye kiboko ya mafisadi kwenye Taifa hili watashika adabu tu.
 
Back
Top Bottom