Mchumia tumbo mbowe aliyeuza chama kwa mafisadi papa.Mi mchumia tumbo huyo tushamzoe
Mnadhani kwavile kuna kiongozi aliuza nchi nzima kwa Wachina kuokoa kichwa cha mwanae basi kila MTU anaweza kuuza kile anachokiongoza?Mchumia tumbo mbowe aliyeuza chama kwa mafisadi papa.
Mbowe atamchukiaje Zito wakati alikuwa anamnunulia hata nguo za kuvaa akiwa UDSM?Muulize Zito suti take ya kwanza maishani aliipata wapi? Na hata maneno anamchukia mbona Zito hajawahi kusema nyie CCM ndio mnaoyaeneza? Mmekuwa michepuko take kuwa anawaambia kunako shughuli?Zitto anajitambua ndiyo maana hata nyumbu wengi ndani ya chadema wanamchukia kwa misimamo yake ya kupinga ufisadi lakini akina mbowe na wenzake ni mafisadi ndiyo maana wanamchukia sana zitto.
Kama watu tunakumbuka vizuri, zitto ndiye alikuwa mwanasiasa wa kwanza kumkaribisha lowasa katika ACT baada ya lowasa kukatwa na ccm. Sasa labda aulizwe, kama lowasa angeamua kujiunga act wasingemkaribisha?
Zito hakukubaliana na mfumo dume ndani ya chadema uliojaa ukabila na ukanda