Zitto aishukia BOT juu ya faini kwa Stanbic bank

Kumbe unaandika post nyingi sana humu ila uwezo wako katika kuelewa ni mdogo ila unasukumwa na ushabiki na ubishi sijui wa Kiha au vipi!
Hivi Maelezo ya Mbunge na sijui kiongozi wa chama anayotoa Facebook yanaweza kuchukuliwa kama official statement ya kuweza kuleta mjadala mtaani au huko BOT? Hapa hatuzungumzii upashanaji habari Bali kuhusu Zitto kutaka BOT kuchukua hatua za makosa ya Stanbic.
Ndio maana nasema huo anaofanya ni usanii au utoto, unless hicho kichama chenu Facebook nayo mumeshaipitisha kama sehemu official ya kutoa matamko.
Elewa kuwa Zitto hawezi kutoa tamko linalohusu masuala ya nchi binafsi bali atakuwa anazungumza kama kiongozi wa ACT au Mbunge. Mambo binafsi yanabaki akizungumzia labda ndoa take na Diva
Shida unaendeshwa na mihemko pasi na kujali uhalisia.....wapi katika kunukuu nimesema hili ni tamko,au ni official statement? Haya yalikuwa ni mawazo yake binafsi na ameyatuma kupitia wall yake.....sasa kwa uzwazwa wako unafikiri lolote atakalosema zitto basi litakuwa ni jambo la ACT...

Yy anayo haki ya kuwasiliana na wafuasi wake na kutoa mitazamo.....sasa kama hukubaliani na mitazamo yake kuitoa Facebook hilo ni tatizo lako.....

BTW mie sio wa kwanza kuhamisha mijadala ya Facebook kuileta JF.....hata nyie nyumbu Mara nyingi mnafanya hivyo......kama hupendi habari za zitto u better ignore all thread about him.....otherwise here we dare to talk openly......
 
Benki Kuu imeitoza Benki ya Stanbic faini ya tshs 3bn kufuatia kuhusika kwake na sakata la ‪#‎Hatifungani‬ ya tshs 1.3trn. ( Kwa mujibu wa zitto faini hii ni kidogo kulingana na kosa walilofanya )

Hata hivyo mwaka umekatika Benki Kuu haiajaueleza umma hatua gani ilichukua dhidi ya Benki hiyo ya Stanbic kuhusu kuhusika kwake na utakatishaji wa fedha za akaunti ya ‪#‎TegetaEscrow‬. Watanzania wana haki ya kujua

CHANZO: Ukurasa wake wa FB

My take:
Tusubiri bunge lijalo tupate mengi zaidi kutoka kwa huyu nguli wa siasa za Issues Issues Issues......
Ni kidogo kwa kigezo gani?? kwani kufikia hayua ya kutoa faini ina utaratibu wa kufanya hizo computation kwa maana si kwa utashi wa kisiasa
 
Kwani ile kesi waliyofungua CHADEMA ICC ilihusu nini? Hukumu haijatolewa bado?
Hoja ni nyepesi sana bunge limetoa maazimio ya kutaka mitambo ya IPTL ichukuliwe na serikari, kwa mtu anayepiga makelele kila siku serikari kutoeshimu maamuzi ya bunge tusisahau kitu muhimu parliament ina hold legal powers kushinda sehemu yoyote ya serikari.

Iwapo kama Zitto anaona serikari imekiuka azimio la msingi la bunge la kutaka Stanbic bank wafanye atakayo, serikari ifanye watakavyo kuhusu walivyoadhimia na kuna ushahidi tosha maazimio yao ayakiuki sheria za nchi mbona aendi mahakamani.

Mimi ningewaona wa maana wote hawa wanaorudia rudia hadithi za escrow pamoja na Lissu waende mahakamani maana hivyo ndio vyombo vinavyoweza toa tafsiri za sheria mtu awezi kukurupuka tu na kusema serikari ifanye vitu fulani wakati anajua kuna sheria za nchi kama anaona zinakiukwa na kazi za bunge zinazarauliwa jambo ambalo si la kuchekeana kabisa aende mahakamani basi anaogopa nini.
 
Back
Top Bottom