Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Wakuu,
Kama ni kiki kapata sioni mbadala zaidi yake kwa vyama vya upinzani.Ili kuwa wazalendo CUF,Chadema,Act wamsimamishe Zitto kugombea uraisi 2020.
Zitto ni mtaalamu wa siasa za akalipso apewe nafasi kwani sasa ana miaka zaidi ya arobaini.
Wenye povu na rununu ama wenye kuunga mkono karibuni.
Kama ni kiki kapata sioni mbadala zaidi yake kwa vyama vya upinzani.Ili kuwa wazalendo CUF,Chadema,Act wamsimamishe Zitto kugombea uraisi 2020.
Zitto ni mtaalamu wa siasa za akalipso apewe nafasi kwani sasa ana miaka zaidi ya arobaini.
Wenye povu na rununu ama wenye kuunga mkono karibuni.