Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,207
We bwana we!bado wapo wasioona aibu.Mtu kama Lusinde ana weza badilika? Hata umpeleke kwa Majimarefu atibiwe haponi maana mwenyewe kakiri ana kichaa cha kuzaliwa.Nchi imeingia mageuzi makubwa kiasi ambacho sasa inakaribia mtu kuona aibu kusema jukwaani zidumu fikra sahihi za chama cha mspinduzi.