Sijui niseme Chadema tumekua wapole sana au ni kwasababu tumekuwa watu wakutoa matamko kiasi kwamba imefika mahali Serekali ya CCM imeshatuzoea kwamba hatuna lolote zaidi ya kutoa matamko?
Hii imekua ni sawa na Panya kumzoea Paka, kiasi kwamba panya anaweza kumchezea paka kwa kila mchezo huku paka akiwa hachukui hatua yoyote ile zaidi ya kulia kwake.
Ifike mahali Chadema tuseme "enough is enough" haiwezekani kila siku tumekuwa watu wakuonewa kiasi hichi. Watu wanauliwa na wengine kujeruhiwa vibaya kila siku.
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]Pole Zitto,tumewapa madaraka makubwa watu hambao hata ubalozi wanyumba kumi hawakustahili.
Ukiona mtu anatoka hadharani kusherekea viti 16 vya udiwani katikati ya msiba,Unapigwa na butwaa!
nauliza mwenye kujua physical address ya mwigulu nchemba
nauliza mwenye kujua physical address ya mwigulu nchemba
Inaumiza sana. Ukisikia watu walioumia tukio la kinyama Arusha inaumiza. Mtoto anaona Mtu aliyevaa nguo za polisi anampiga Risasi, mtoto huyu daima atawaonaje polisi. Mpaka lini unyama huu utaendelea? Halafu watu wanafanya siasa. Raia wamekufa. Tuvumilie kweli?
View attachment 98229
ZITTO : facebook na twitter.
nauliza mwenye kujua physical address ya mwigulu nchemba
Wakuu,
me najiuliza sana kwanini JK anajipendekeza sana Ulaya na safari zake either anakimbia maovu na upuuzi wa viongozi wake au anajipendkeza huko Nje ili Human rights wasichafue Profile yake?
Maaana mpaka sasa huko ulaya G5 hawajamuuliza kwanini siku hizi nchi yake(yetu) inakumbwa na misuko suko sana?