Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,945
Ataachaje ushamba mtu anayetoka Mkoa masikini wa kutupwa nchini lakini anahubiri eti Kazi na bata?
Kigoma umasikini ni zaidi ya asilimia 40 but still mtu anataka kuifananisha Kigoma na Dar es Salaam ambayo umasikini ni chini ya asilimia 5%?
Fanyeni kazi achaneni na wanafiki. Mpango mzima ni Hapa kazi tu! Ukizipata utajua namna utakavyozitumia.
No gains without pains!!
Huko ni kukosa hoja zenye mashiko, wewe badala ya ku -deal na mambo aliyoyaleta zitto una -deal na mkoa anapotokea!!, hizo ni elements za ukabila.
Sasa unataka kutuaminisha Watz kwamba watu wanaotoka mikoa iliyo nyuma kimaendeleo hawana haki ya kujieleza na kutoa maoni juu ya mustakbali wa nchi hii!!!???.