hivi kweli mnaoongea hapa mna kadi za Chadema?
Chadema ipo moyoni mwake hata ikitokea atanyang'anywa uanachama wake hatojiunga na chama chochote.... atarudi chuo kikuu akawafundishe vijana.
Chadema ipo moyoni mwake hata ikitokea atanyang'anywa uanachama wake hatojiunga na chama chochote.... atarudi chuo kikuu akawafundishe vijana.
Mkuu ZZK
nikiwa kama mwanachama wa chadema naomba nikupe ukweli nini kitafata muda si mrefu:
bila kujali utafukuzwa au hufukuzwi chadema,napenda kukuhakikishia ni lazima kwa vyovyote vile uondoke chadema
Zito usifikirie kubaki chadema kwa sababu sisi wanachama ambao tumebeba chama hatuna imani na wewe tena kwa vyovyote vile
tunasubiri siku zako 14 ziishe uondoke,na kama uongozi utakuachia wewe kubaki chadema basi chadema itakuwa kwenye wakati mgumu zaidi kwani sisi wanachama hatutaki ubakie chadema,
kama kweli wewe ni mwana demokrasia naomba kwa moyo wote ondoka ili tuweze kushikamana na kuendeleza mapambano yaliyokwisha anza ya mabadiliko
hivi kweli mnaoongea hapa mna kadi za chadema?
Alishawahi kuwa huko akifundisha? Chuo gani? Nijuze mkuu!
Akawafundishe vijana kuwa wasaliti na mamluki.. sipati picha ZZK mwalimu.. ameshazoea kupiga hela hatadumu kwenye kushika chaki....
hata kufundisha hafai
Mkuu ZZK
nikiwa kama mwanachama wa chadema naomba nikupe ukweli nini kitafata muda si mrefu:
bila kujali utafukuzwa au hufukuzwi chadema,napenda kukuhakikishia ni lazima kwa vyovyote vile uondoke chadema
Zito usifikirie kubaki chadema kwa sababu sisi wanachama ambao tumebeba chama hatuna imani na wewe tena kwa vyovyote vile
tunasubiri siku zako 14 ziishe uondoke,na kama uongozi utakuachia wewe kubaki chadema basi chadema itakuwa kwenye wakati mgumu zaidi kwani sisi wanachama hatutaki ubakie chadema,
kama kweli wewe ni mwana demokrasia naomba kwa moyo wote ondoka ili tuweze kushikamana na kuendeleza mapambano yaliyokwisha anza ya mabadiliko
Slaa kawaambia mashabiki wake kwamba kama wanamtaka sana Zitto basi waondoke naye wakaanzishe chama kingine. Kwa majibu yale ya Slaa kwa wana Kigoma ni dhahiri kwamba siku zake ndani ya CHADEMA zinahesabika.Aondoke akajiunge na CCM. Aanzishe Chama chake. Afukuzwe hatulei wajinga
Mkuu ZZK
nikiwa kama mwanachama wa chadema naomba nikupe ukweli nini kitafata muda si mrefu:
bila kujali utafukuzwa au hufukuzwi chadema,napenda kukuhakikishia ni lazima kwa vyovyote vile uondoke chadema
Zito usifikirie kubaki chadema kwa sababu sisi wanachama ambao tumebeba chama hatuna imani na wewe tena kwa vyovyote vile
tunasubiri siku zako 14 ziishe uondoke,na kama uongozi utakuachia wewe kubaki chadema basi chadema itakuwa kwenye wakati mgumu zaidi kwani sisi wanachama hatutaki ubakie chadema,
kama kweli wewe ni mwana demokrasia naomba kwa moyo wote ondoka ili tuweze kushikamana na kuendeleza mapambano yaliyokwisha anza ya mabadiliko
Kama chadema watamfukuza zitto ni km Barcelona wamuuze messi kwenda madrid
Mi nadhani tunahitaji watu, hatufurahii mtu yeyote kufukuzwa ndani ya chama awe mkubwa ama mdogo, lengo kuu ni mtu kubadilika na kubaki ndani ya chama, hilo ndo lengo kuu