NOT FOUND
Senior Member
- Mar 14, 2011
- 158
- 59
Chuo kikuu dodoma ni miongoni mwa mashirika ya umma ambayo hayajawasilisha report zake kwa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma. Je kuna nini kimejificha kwa taasisi nyeti kama hii kushindwa kutoa ushirikiano.
Haya yamesemwa na mwenyekiti wa kamati hiyo mh. Zito na ameomba zichukuliwe hatua kali dhidi yao
Haya yamesemwa na mwenyekiti wa kamati hiyo mh. Zito na ameomba zichukuliwe hatua kali dhidi yao