Zitakuja nyakati tutatamani Magufuli arudi hata siku moja madarakani


Nyerere alishawahi Fanya hivo kutaifisha biashara zifanywe na serikali umewahi sikia azimio La arusha,unayajua mashirika ya umma yako wapi sasa watu walisoma wakala hio nadharia ya serikali kufanya biashara inafaa Kwa jamii nyingine na si waafrica, mfumo wetu wa maisha atulazimishi kujituma hatuna nidhamu ya usimamizi wa mambo.Mashirika ya umma yalikufa Kwa kukosa usimamizi, ushindani, yakaendeshwa Kwa ruzuku badala ya faida yakawa mzigo ikabidi yabinafishwe.Kurudi kwenye makosa ya Nyerere ni matumizi mabaya ya kodi zetu itaishia kutoa ruzuku Kuendesha miradi inayofurahisha macho ya watawala huku ikiumiza wananchi.
 
Chato haijaendelezwa km mnavyodanywa kwenye media
Chato pa kawaida sana
 
Deni limedabo lakini kazi inaonekana. Si sawa na waliokopa halafu wakafanya mikopo hiyo mali zao na wake zao.
Hio miradi Kwa uchumi uliofungwa pesa kurudi ni ngumu,labda aruhusu pesa zizunguke sio kuzifungia
 
Huo ni mtazamo wako tu
Lkn makonda Kwenye swala la madawa ya kulevya amejitahidi kuyadhibiti
 
Acha wivu wa kitoto mkuu tutambue uchapa kazi wa mh.Rais
Kweli tunatofautiana maono, yaani na huyu Magufuri unamfananisha na Nyerere na kumuita saint?? Hata shetani ameshituka alipoona maandishi yako, anyway kumbe wewe ni diaspora
 
Ukiambiwa weka ushahidi utaleta au unabweka nyuma ya keyboard tu
Makonda alikuja kusambaratishwa waletaji madawa washindani na kutengeneza mfumo wa kuingiza madawa ya kulevya ya wapambe wake tu.
 
Hata ndege ilikuwa kipaumbele cha ilani ya Uchaguzi mkuu
 
Nyerere anaondoka madarakani Mimi kijana mdogo najitambua mkuu
Usibishe bila Sababu

Kama uchapa kazi wa magufuli unakuumiza roho hama nchi
Nenda zako huko, Nyerere akiwa Rais ulikuwa na umri gani? Na Mwinyi alipokuwa Rais ulikuwa unasoma wapi? Na Mr Clean alipokuwa Rais ulikuwa unafanyakazi wapi? Acha kutetea upumbavu kwa kuandika uongo wako. Brarifuuuuuu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…