Wanasema hatujui siku wala saa,unaeza shangaa wiki ijayo mawinguni kunawakaBado sana ndugu yangu
Mkuu huo ujasiri wa kuangalia hilo uno unautoa wapi ndugu yanguukiweka camera usisahau kufungilia na mziki ili ukipata picha uone akikata mayenu
Naomba link ya hiyo thread ambayo kulikua na sokomoko kuhusu hiyo pichaView attachment 530206View attachment 530207hii picha ya pili ilishawahi kuleta sokomoko hapa jukwaani hadi basi
Naomba link ya hiyo thread ambayo kulikua na sokomoko kuhusu hiyo picha