Zipo standing orders, siyo ugomvi na Gwajima

Zipo standing orders, siyo ugomvi na Gwajima

Wangeisifia wangekamatwa?

Sheikhi aliyeomba Dua atakayempiga Mkuu afe hiyo ni siasa siyo siasa?

We kiasi kweli
Alisema anataka wapate kiharusi.
Lakini amepingwa na Sheikh mwingine.

Sasa kama unamtakia mema Gwajima mwambie atoke Kanisani,aende nyumbani kwake akapumzike.
Askari wanataka kulifunga Kanisa.
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga au aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Chama changu cha Buddha kipo,kina watu 200
Ila kujihusisha na siasa za CCM siyo kosa ??? Hizi double standards ndiyo zitaliingiza Taifa katika sintofahamu. Hata Hamas haikusajiliwa bali mazingira ya ukandamizaji na kupokwa haki ndiyo ilikuwa kichocheo cha kuanzishwa Hamas.
 
Gwajima ni limbukeni,anadhani nguvu aliyonayo kwa misukule yake kanisani anayo pia kwenye medani za siasa,rais siyo wa kushindana nae,utaumia
Nani alikuambia Gwajima anashindana na rais?
Gwajima hapendi watu kutekwa na kuuawa, kama kupinga utekaji ni kushindana na rais, then kuna kitu sijakielewa.
 
Kinachomkuta Gwajima ni kwa sababu amegusa Mamlaka ya nchi.
Kama Gwaji 2020 aliamua kuingia Siasa na akawa Mbunge mbona Mamlaka haikupiga kelele kwamba kwa mjibu wa sheria za kuanzisha Makundi ya kijamii haruhusiwi kujihusisha na siasa?
Hizo standing orders zimewekwa kwa ajili ya mtu anayeikosoa Serikali siyo anayeisifia Serikali.


Mashehena kila siku wanakaa vikao tena wakiwa na Shehena mkuu vya kusema Samia ni mtume na Yesu .Hiyo sio siasa lakini kupinga mauaji ya CCM na utekaji wa CCM unaofanywa na makundi ya kigaidi ni kufanya siasa .
CCM ikiwa na mlaveushwa na Tapeli Jerry Muro aliyekua anatumia ITV kutapeli wakurugenzi na mapolisi kwa picha uchwara za kuwaonyesha miradi na majumba yao eti atayatoa kwenye TV na magazeti ili wampe rushwa leo amegeuka kuwa msemaji wa Ikulu .


Jeri Muro mjinga kabisa akiwa ITV alikua anatengeneza skendo feki kwa watumishi wa Dawasa na kutaka Rushwa .
Alipowapiga picha askari polisi ndio ikawa gia ya kuishia Wakurugenzi wa Halmashauri . Alikua anapita na vitambulisho vya usalama wa Taifa na pingu .
Huyu Jeri Muro ni kati ya watu waovu walioteuliwa na Serikali ya awamu ya Tano .

Jeri Muro anapaswa atuambie alikua napata wapi pingu na vitambulisho Vya TAKUKURU na usala wa Taifa . Mjinga kabisa .

Jery Muro siku utawala wa Chama kingine ukiingia Madarakani kesi yake ya utapeli na kujifanya ni ,tunaishi wa umma ifufuliwe ili atuambie alipokua anapata vitambulisho vya usalama wa Taifa na TAKUKURU .

Kama alikua anatumwa atuambie alikua anatumwa na nani ?
Bila shaka Jery Muro bado ni kiongozi wa hayo Magenge yanayopita na pingu na bastola na kujifanya polisi na usalama wa Taifa .


Jeri Muro akamatwe mara moja ataisaidia Serikali kujua nani hua anadhamini au anaowatuma wahuni au watu ndani ya serikali au vijana maarufu kufanya misheni za kitapeli au za kificho wakiwa na pingu na vitambulisho lakini wakikamatwa wanaachiwa kama alivyoachiwa yeye bila kumfikisha mahakamani na kujua alipata wapi pingu na bastola na vitambulisho vya watumishi waliokua chini ya ofisi za serikali kuu.

Jeri Muro tapeli baadae akateuliwa na Rais kuwa mkuu wa Wilaya .
Hapa kwa nini tusiunganishe doti . Iweje mtu aliyefoji vitambulisho na kupita na pingu na bastola atishie mkurugenzi aombe mil 20 halafu DPP aondoe kesi yake bila serikali kutoa nafasi ya Wananchi kujua wapi alipata vitambulisho na pingu na bastola na nani alimpa hiyo kazi na hivyo vitambulisho na kwa nini alitumika yeye na isionekane ni kuichafua serikali badala yake baadae apewe ukuu wa Wilaya .

Leo Jeri Muro eti ni Mtu muhimu, mzalendo na mwenye nia njema na Rais kuliko Gwajima Mtumishi wa Mungu aliyehubiri wema wa Mungu ,ukuu wa Mungu , Toba kwa wanadamu na kuacha dhambi ikiwemo wizi wa mali za umma , mauaji,utekaji ,dhulma , uongo ,ufisadi , ushirikina ,utekaji na rushwa . Gwajima amewafanya mamiloni ya Watu duniani kuwa watu wema na watiifu katika haki kwa Mungu na wanadamu ,
Leo Jery Muro anayeshirikiana na Wauaji kujenga taifa la vijana machawa na wabinafsi kwa fedha za umma.
 
Walipomchagua Askofu kuwa mbunge walikuwa wanachanganya DINI NA SIASA au SIASA NA DINI?
 
Gwajima ni limbukeni,anadhani nguvu aliyonayo kwa misukule yake kanisani anayo pia kwenye medani za siasa,rais siyo wa kushindana nae,utaumia
Hujajibu swali lakini.

Ni kweli sheria inasema hivyo, lakini ni sababu anaongea jambo ambalo mamlaka haitaki,.

Unadhani angekuwa anasifia juhudi za mama, anasema mama mi5 tena, yesu ameibariki CCM kutawala tanzania, lisu afungwe kabisa, etc
Unadhani wangefungia hilo kanisa!?
 
Hujajibu swali lakini.

Ni kweli sheria inasema hivyo, lakini ni sababu anaongea jambo ambalo mamlaka haitaki,.

Unadhani angekuwa anasifia juhudi za mama, anasema mama mi5 tena, yesu ameibariki CCM kutawala tanzania, lisu afungwe kabisa, etc
Unadhani wangefungia hilo kanisa!?
Siyo suala la kudhani
 
Huyu jamaa amekuwa mbunge akiwa mchungaji, kwanini hawakumzuia kufanya siasa za ubunge wakati yeye ni mchungaji?
 
Back
Top Bottom