Zipo standing orders, siyo ugomvi na Gwajima

Zipo standing orders, siyo ugomvi na Gwajima

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,639
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga au aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Chama changu cha Buddha kipo,kina watu 200
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja tumekwenda kuanzisha Chama chetu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,msijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo lotachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga su aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Kuteka, kutesa na/au kuua raia lawlessly ni dhambi kama dhambi zingine. Kukemea hiyo dhambi siyo kufanya siasa. Sio sawa kuacha kuikemea hii dhambi just because a political bigwig is behind it!

Kuna viongozi wa dini wanaendesha national prayer kumuombea Rais. Je, hao nao wanafanya siasa?
 
Ni kweli sheria inasema hivyo, lakini ni sababu anaongea jambo ambalo mamlaka haitaki,.

Unadhani angekuwa anasifia juhudi za mama, anasema mama mi5 tena, yesu ameibariki CCM kutawala tanzania, lisu afungwe kabisa, etc
Unadhani wangefungia hilo kanisa!?

Nchi hii ina ushamba mwingi, viongozi wetu ni malimbukeni wa madaraka... Walafai, wabinafsi na sifa nyingi mbovu wanazo.

Tunaongozwa na mijitu ambayo haina sifa ya kuwa viongozi.
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga ai aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Sheria ina enda na tafsiri, na pia Uhalali wa Sheria yenyewe. Ikipingana na Katiba hiyo sio Sheria, na wewe kama Mtoto wa Geti Kali unaweza kwenda Kwa Warioba akakuelimisha, jinsi ya kuvuta na kunywa lakini ukabaki ntu Yule yule
 
Ni kweli sheria inasema hivyo, lakini ni sababu anaongea jambo ambalo mamlaka haitaki,.

Unadhani angekuwa anasifia juhudi za mama, anasema mama mi5 tena, yesu ameibariki CCM kutawala tanzania, lisu afungwe kabisa, etc
Unadhani wangefungia hilo kanisa!?

Nchi hii ina ushamba mwingi, viongozi wetu ni malimbukeni wa madaraka... Walafai, wabinafsi na sifa nyingi mbovu wanazo.

Tunaongozwa na mijitu ambayo haina sifa ya kuwa viongozi.
Gwajima ni limbukeni,anadhani nguvu aliyonayo kwa misukule yake kanisani anayo pia kwenye medani za siasa,rais siyo wa kushindana nae,utaumia
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga ai aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Lakini pia kiongozi ni mbunge, na mbunge ni mwanasiasa. Sijui kwa hapo sheria unasemaje: ubunge wake unaishia wapi, nje ya kanisa au hata ndani ya kanisa?
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga ai aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Na je aliyeshiriki siasa ni kiongozi au kanisa, au vyote viwili?
 
Kuteka, kutesa na/au kuua raia lawlessly ni dhambi kama dhambi zingine. Kukemea hiyo dhambi siyo kufanya siasa. Sio sawa kuacha kuikemea hii dhambi just because a political bigwig is behind it!

Kuna viongozi wa dini wanaendesha national prayer kumuombea Rais. Je, hao nao wanafanya siasa?


Huu ni mwanzo tu .

Chini ya huu katiba ya kidikteta ipo siku nchi hii itatangazwa kuwa dola la dini fulani na hakuna atakayenyanyua mkia . Hivi katiba ina mpa RAIS nguvu kubwa sana , Nguvu ya Rais ndiyo unayoamua kila kitu . Chochote anachofanya ni sawa.
Rais anatumia pesa za umma anavyotaka hakuna wa kumuuliza maana kila mtu ni muoga .

Leo Dhambi ya kuua ,kutesa watu ,kupiga watu ,kulawiti watuhumiwa kama yule mkenya na Kubaka eti kanisa haliruhusiwi kikemea kisa tu waliofanyiwa hayo wanamkosoa Raisi . Yaani Samia amekua mkubwa kuliko Mungu .

Au Mungu anayehubiriwa na wakristo ni mteule wake au ni dharau gani hiyo .
 
Kinachomkuta Gwajima ni kwa sababu amegusa Mamlaka ya nchi.
Kama Gwaji 2020 aliamua kuingia Siasa na akawa Mbunge mbona Mamlaka haikupiga kelele kwamba kwa mjibu wa sheria za kuanzisha Makundi ya kijamii haruhusiwi kujihusisha na siasa?
Hizo standing orders zimewekwa kwa ajili ya mtu anayeikosoa Serikali siyo anayeisifia Serikali.
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga au aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Chama changu cha Buddha kipo,kina watu 200
Kwa hiyo alivyokuambia jihadhari ukaogopa sana!?
 
Zipo Sheria zao zinasema vyama hivi vya kiraia visishiriki katika siasa.

Nilikuwepo kule siku moja nimekwenda kuanzisha Chama changu cha Buddha. Akatokea kiongozi mmoja,aliposikia nataka kufanya nini, akasema jihadhari,usijihusishe na mambo ya siasa.

And this soft-speaking person alikuwa kiongozi,Waziri wa Mambo ya Ndani mstaafu( Mbara).

Kwa hiyo si kama vile kuna mtu ana ugomvi na Gwajima. Isipokuwa Sheria ndio zinavyosema.
Sasa hapa wapo waumini wengi wanakwenda pale,sijui kama jambo hilo litachukuliwa maanani. Lakini sheria ndio hivyo.

Inaelekea hapa ipo unforeseen circumstance, ambayo hakuna aliyepanga au aliyetarajia,ambayo inaweza kuleta ubishi?
Chama changu cha Buddha kipo,kina watu 200
Wangeisifia wangekamatwa?

Sheikhi aliyeomba Dua atakayempiga Mkuu afe hiyo ni siasa siyo siasa?

We kiasi kweli
 
Back
Top Bottom