Zipi sababu za mwanaume kupigwa vibuti

mbona kibut ni kipimo ya kurud tena na kuchakachua alafu unalala mbele mana hata shetan alitoswa mara ya kwanza na yesu ila mara ya pili alim2ndika yesu msalaban so ukipigwa kibut jipange tena alafu unachukuwa mzgo kwa kwenda mbele wewe 2uu hakuna cha uzur wala maneno mbona teja anatembea na mwanachuo na hajasoma
 
mbona kibut ni kipimo ya kurud tena na kuchakachua alafu unalala mbele mana hata shetan alitoswa mara ya kwanza na yesu ila mara ya pili alim2ndika yesu msalaban so ukipigwa kibut jipange tena alafu unachukuwa mzgo kwa kwenda mbele wewe 2uu hakuna cha uzur wala maneno mbona teja anatembea na mwanachuo na hajasoma

Asante dada umenipa moyo God bless u, tatizo langu sikuzoea vibuti kabla!!!
 
mbona kibut ni kipimo ya kurud tena na kuchakachua alafu unalala mbele mana hata shetan alitoswa mara ya kwanza na yesu ila mara ya pili alim2ndika yesu msalaban so ukipigwa kibut jipange tena alafu unachukuwa mzgo kwa kwenda mbele wewe 2uu hakuna cha uzur wala maneno mbona teja anatembea na mwanachuo na hajasoma

Una uhakika dada?
 
Kama umefulia na ulikuwa unamlea mtoto basi anakuona huna maana.
Kwa wale wanao lelewa kama performance imeshuka jimama linakupiga kibuti

Mkuu ndio kwanza kinachanganya nashindana na mkere kuzurura... zote hela hizo :car:
 
mbona kibut ni kipimo ya kurud tena na kuchakachua alafu unalala mbele mana hata shetan alitoswa mara ya kwanza na yesu ila mara ya pili alim2ndika yesu msalaban so ukipigwa kibut jipange tena alafu unachukuwa mzgo kwa kwenda mbele wewe 2uu hakuna cha uzur wala maneno mbona teja anatembea na mwanachuo na hajasoma

Hapo kwenye red, huko nishapita now i need a serious relationship
 
oya kuwen serious bas mana ninaona full kudanganyana wanachn hebu rudn kwenye TOPIC achen kuzingua mara wengne muongeree mpira nenden kwenye safu ya sport muongee huko hapa 2saidiane khs hii topic au co
 
Hata sijachakachua napigwa juu kwa juu:Cry:

Yawezekana unatongoza wasichana wasio-type yako,we ukitamani tu unaenda,lazima upigwe chini......
Yawezekana una story za kitoto,mara ngoja nikachukue hela kwa mshua twende sijui wapi,mara ngoja nkachukue hela kwa maza tutoke??kuna mistori fulani ya kiyoyo baadhi ya wanaume watu wazima tu wanayo inachefua.......
Wengine hata hujamjua jina la pili unamwambia unataka umuoe,i think you will make a good mother???
Yawezekana una jisifu sana,au una story zisizohitajika au una-bore tu(there is no fun having you around),yabidi kabla hujamtongoza mtu umjue walau kidogo,interest zake,taste zake za vitu,anapenda kutoka out kwenda wapi,ni mtu wa malezi gani,dini yake,elimu yake,company yake etc etc,manake ndo haya mtu kazoe kwenda out Marry Brown kula junk food we unakurupuka unampeleka kula kitimoto JJ na mbu kibao,lazima upigwe chini...........pole Elia.:Cry:
 
Hapo kwenye red, huko nishapita now i need a serious relationship

Kumbe nawewe ulikuwa una chakachua unalala mbele,nataka uipate zaidi ya hapo......wakutose mpaka ujue kwamba mioyo iliyosononeka na kulia kwa hayo uliyofanya kabla iliumia vipi????Na ukatubu Elia,si sifa kuchakachua na kulala mbele and now you want a serious relationship???Unaweza pata na ukaoa na tabu ukazipata mbele kwa mbele au hata wanao,ogopa sana roho inayo/iliyoumia juu yako......
 
Yawezekana unatongoza wasichana wasio-type yako,we ukitamani tu unaenda,lazima upigwe chini......
Yawezekana una story za kitoto,mara ngoja nikachukue hela kwa mshua twende sijui wapi,mara ngoja nkachukue hela kwa maza tutoke??kuna mistori fulani ya kiyoyo baadhi ya wanaume watu wazima tu wanayo inachefua.......
Wengine hata hujamjua jina la pili unamwambia unataka umuoe,i think you will make a good mother???
Yawezekana una jisifu sana,au una story zisizohitajika au una-bore tu(there is no fun having you around),yabidi kabla hujamtongoza mtu umjue walau kidogo,interest zake,taste zake za vitu,anapenda kutoka out kwenda wapi,ni mtu wa malezi gani,dini yake,elimu yake,company yake etc etc,manake ndo haya mtu kazoe kwenda out Marry Brown kula junk food we unakurupuka unampeleka kula kitimoto JJ na mbu kibao,lazima upigwe chini...........pole Elia.:Cry:


zile za mai maza iz in uk
 
Kumbe nawewe ulikuwa una chakachua unalala mbele,nataka uipate zaidi ya hapo......wakutose mpaka ujue kwamba mioyo iliyosononeka na kulia kwa hayo uliyofanya kabla iliumia vipi????Na ukatubu Elia,si sifa kuchakachua na kulala mbele and now you want a serious relationship???Unaweza pata na ukaoa na tabu ukazipata mbele kwa mbele au hata wanao,ogopa sana roho inayo/iliyoumia juu yako......

Yalikuwa mapito tu dada yangu, nilipoanza kazi tu nilistop ujana ambao kuupitia kuna maana yake, Nipo kazini zaidi ya miaka mi tano sasa means niliacha huo mchezo muda mrefu, nika concentrate kufight for my better life, Nilisha tubu ulikua ni ujana tu na zama zake! Kila niliye achananaye ilikua ni murtual agreement, thats why we remained friends
 
Yalikuwa mapito tu dada yangu, nilipoanza kazi tu nilistop ujana ambao kuupitia kuna maana yake, Nipo kazini zaidi ya miaka mi tano sasa means niliacha huo mchezo muda mrefu, nika concentrate kufight for my better life, Nilisha tubu ulikua ni ujana tu na zama zake! Kila niliye achananaye ilikua ni murtual agreement, thats why we remained friends

Good,all the best my brother!
 
Nimeshapigwa vibuti kibao, nimeshapiga vibuti kibao, kwa ufupi nimekuwa sugu. Hata nikikufumania na mke wangu, nakwambia nenda Kaka. Hivi vichwa vya panzi navijua.
 
Yawezekana unatongoza wasichana wasio-type yako,we ukitamani tu unaenda,lazima upigwe chini......
Yawezekana una story za kitoto,mara ngoja nikachukue hela kwa mshua twende sijui wapi,mara ngoja nkachukue hela kwa maza tutoke??kuna mistori fulani ya kiyoyo baadhi ya wanaume watu wazima tu wanayo inachefua.......
Wengine hata hujamjua jina la pili unamwambia unataka umuoe,i think you will make a good mother???
Yawezekana una jisifu sana,au una story zisizohitajika au una-bore tu(there is no fun having you around),yabidi kabla hujamtongoza mtu umjue walau kidogo,interest zake,taste zake za vitu,anapenda kutoka out kwenda wapi,ni mtu wa malezi gani,dini yake,elimu yake,company yake etc etc,manake ndo haya mtu kazoe kwenda out Marry Brown kula junk food we unakurupuka unampeleka kula kitimoto JJ na mbu kibao,lazima upigwe chini...........pole Elia.:Cry:

Now i can see, Kupata mwenzi wa kuoa ni kazi sana dadaa. Sio kwamba hakuna wanaojilengesha! ila mimi natakiwa kutafuta wa kuishinae some they just come for my money
 
Back
Top Bottom