MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
mbona kibut ni kipimo ya kurud tena na kuchakachua alafu unalala mbele mana hata shetan alitoswa mara ya kwanza na yesu ila mara ya pili alim2ndika yesu msalaban so ukipigwa kibut jipange tena alafu unachukuwa mzgo kwa kwenda mbele wewe 2uu hakuna cha uzur wala maneno mbona teja anatembea na mwanachuo na hajasoma