Lazima nijue tatizo kwanza ili lisijirudie mkuu!!!
Kwangu mimi ukicheat tu sina msamaha!!
Kwangu mimi ukicheat tu sina msamaha!!
Hongo makasi be!
For that case ok, But unamtokea tu mdada anakutolea nje unatoss tena the same issue inakuwaje da M.R??
mademu wangu wote wana tabia kama zako
For that case ok, But unamtokea tu mdada anakutolea nje unatoss tena the same issue inakuwaje da M.R??
kutokuwa muaminifu katika mapenzi,yaani kubadilisha wanawake kila kukicha,leo una mwajuma,kesho yake una kidawa,mara cha usiku.kutokumjali mwenzio,una hiyari uende ukaangalie mpira wa manchester na arsenal,kuliko kukutana na mpenzi wako,mara siku ya pili,upo busy na biashara au kazi[w.ke tunapenda attention}.Ahadi za uwongo,usijali sweetie,kesho nitakupitia nikupeleke dinner,siku ikifika,nipo kwenye kikao cha harusi si nilikwambia vile mdogo wangu ataoa?.yaani blaa blaa kila kukicha,akitaka mchezo anakuwa na wewe karibu,ndani ya mchezo,promise nyiiiiiiiingi za uwongo.mwishowe unaona mmmh hapa hapafai,kibuti kwa kwenda mbele.oooh nimesahau,na ubahili,umpe wewe tu,yeye story za hapa na pale zinakuwa nyingi,na pengine ana kazi nzuri kuliko wewe