habari wana jf hivi hii zip code huku kwetu bongo tunaijaza vipi mana kuna baadhi ya form ukitaka kujaza on line kuna sehemu ya kujaza zip code zip code ni nini ? ni code ya mji unaokaa au eneo unalokaa au mkoa au nchi unayo ishi? je utajuaje zipcode yako?[/QUOTE
tanzania tunatumia tu sanduku la posta, wewe iache kama ilivyo, ila inayofanana na zip code tanzania itaaanza kutumika karibu , sijui itaitwa nini. hiyo ni namna tu ya utambuzi wa anuani za watu hasa kwa makazi. wenzetu sanduku la posta hutumika zaidi kwa kampuni, mashirika na serikali, ila watu hutambuliwa kwa anuani ya makazi ambayo kule amerika ndo inaitwa zip code. sijui nchi nyingine zaitwaje , japo kule ulaya huitwa post code
habari wana jf hivi hii zip code huku kwetu bongo tunaijaza vipi mana kuna baadhi ya form ukitaka kujaza on line kuna sehemu ya kujaza zip code zip code ni nini ? ni code ya mji unaokaa au eneo unalokaa au mkoa au nchi unayo ishi? je utajuaje zipcode yako?[/QUOTE
tanzania tunatumia tu sanduku la posta, wewe iache kama ilivyo, ila inayofanana na zip code tanzania itaaanza kutumika karibu , sijui itaitwa nini. hiyo ni namna tu ya utambuzi wa anuani za watu hasa kwa makazi. wenzetu sanduku la posta hutumika zaidi kwa kampuni, mashirika na serikali, ila watu hutambuliwa kwa anuani ya makazi ambayo kule amerika ndo inaitwa zip code. sijui nchi nyingine zaitwaje , japo kule ulaya huitwa post code
sasa mkuu zile form ambazo hazitaki ku submit mpaka ujaze zip code inakuwaje?
sasa mkuu zile form ambazo hazitaki ku submit mpaka ujaze zip code inakuwaje?
andika sanduku la posta... kwamfano aabdika tu box 122223, zip code ina herufi na namna
sasa ukiandika box halfu namba
manake huo mandiko utakubalika. ila kwakuwa unasehemu ya kujaza nchi na jiji,
wao watachukua hiyo box namba , na jiji na nchi. so kama ni mawasiliano hayatapotea.
andika sanduku la posta... kwamfano aabdika tu box 122223, zip code ina herufi na namna
sasa ukiandika box halfu namba
manake huo mandiko utakubalika. ila kwakuwa unasehemu ya kujaza nchi na jiji,
wao watachukua hiyo box namba , na jiji na nchi. so kama ni mawasiliano hayatapotea.
shukran mkuu
form za google adsence huwa zinazingua sana hata ukitumia postal code, ngoja nijaribu hiyo fake hapo juu chief-mkwawa
Usidanganye adsense mi walinipa fundisho kwenye admob bado dola 1 kuredeem wakasuspend acount. Watakuja kudhulumu bdae hao wapuuz
Usidanganye adsense mi walinipa fundisho kwenye admob bado dola 1 kuredeem wakasuspend acount. Watakuja kudhulumu bdae hao wapuuz
msinikumbushe kilichonikuta adsense. Nilijisahau nika-click tangazo mimi mwenywe wakablock account mpaka leo.....!!!!!!!!!!
dah... Pole bana... Rules are rules... But vp ulikuwa na salio angalau?