Inakera unakuta tangazo la kazi, unafungua unakutana na link, hebu jiulize wewe unaeweka link mtu mwenye simu ndogo ataweza kuifungua kweli wakati mi-blogs yenu inatafuna mi-kb! Au mnataka tujue mnamiliki blogs!
Fanyeni copy & paste (MFANO MAX MELO) then kwa kutia naskshi unasema "for more info" then unatupia link.
Badilikeni jamani.......mjini shule!
Wandugu hii ni Advertisement/Marketing strategy ( Akiweka maelezo tu je Blog yake ataitangazaje?). Unapochangia mada kama hizi tuwe tunajaribu kuvaa miwani ya wahusika wote(Blogger & Wtafuta ajira), Mimi pia naona sio Vyema, Ila unapoleta complain kwenye jambo lolote nimejifunza kusimama kimtazamo kwa pande zote ( Upande wa watafuta ajira lakini pia upande wa Bloggers/ Wamiliki wa hizo tovuti za ajira)habari''kazi leo''...kisha ukifungua uzi huo unakuta wameandika ''Bofya hii link''......