Zingatia haya wewe unaetaka kuoa

Zingatia haya wewe unaetaka kuoa

Hivi mwanaume naweza nikawa adunje\kibushuti kama nitakuwa below sentimita au futi ngapi? Hebu nidadavulie ili nione kama naweza kuwa na wewe au siwezi.
Tatizo vipimo hawasemagi na kutuacha na mamawazo
 
utaoa lakini utakutana na wengine zaidi za mke wako. haya mambo ni mungu tuu.
Ni kweli mkuu ila jitahidi awe na sifa at least unazozitaka ili jata ukiona mwingine zaidi yake tofauti inakua ndogo,
 
Uko sahihi, huwezi kumuoa mwanamke kisa tu unampenda bali awe na vigezo uvipendavyo.
 
[emoji2960] Mimi ni gentleman,mrefu,mweupe [emoji23][emoji23][emoji23] ila sina kipara.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Ndugu zangu wanawake pasua kichwa ..kama umechagua chura hongera zako lakini usije jinyonga
 
Back
Top Bottom