Zingatia haya wewe unaetaka kuoa

Zingatia haya wewe unaetaka kuoa

dokolombwike

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
373
Reaction score
623
Ukitaka kuishi vizuri na mkazidi kumpenda mke wako unatakiwa uoe mtu mwenye vitu unavyovipenda mfano,kama unapenda mwanamke mwenye chura kidogo usijaribu kuoa ndizi mshale a.k.a flat screen,sababu ukioa ndizi mshale nawewe ulikuwa unataka chura kila ukimuona mwanamke mwenye chura utakuwa unashtuka na roho inakuuma,na kujipa moyo eti mwanamke ni tabia, au mfano mkeo hana chura itabidi utafute bekitatu asiye na chura ili mkewako apone,kuna mtu alikuwa anatafuta beki tatu ila akatoa vigezo eti asiwe na chura,kufwatilia kumbe yeye hana sasa akawa anaogopa,ndo maana nikaja kuanzisha huu Uzi.
 
Daaaah... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umeua...
 
Ukitaka kuishi vizuri na mkazidi kumpenda mke wako unatakiwa uoe mtu mwenye vitu unavyovipenda mfano,kama unapenda mwanamke mwenye chura kidogo usijaribu kuoa ndizi mshale a.k.a flat screen,sababu ukioa ndizi mshale nawewe ulikuwa unataka chura kila ukimuona mwanamke mwenye chura utakuwa unashtuka na roho inakuuma,na kujipa moyo eti mwanamke ni tabia, au mfano mkeo hana chura itabidi utafute bekitatu asiye na chura ili mkewako apone,kuna mtu alikuwa anatafuta beki tatu ila akatoa vigezo eti asiwe na chura,kufwatilia kumbe yeye hana sasa akawa anaogopa,ndo maana nikaja kuanzisha huu Uzi.
Khaa
 
Me kwakweli piga ua galagaza mwanaume kibushuti anisamehe tuu kwakweli,.japo wana mbwembwe zao kwa bedii😋😋🤓siwezi kwenda nae altarini asee..
 
[emoji2960] Mimi ni gentleman,mrefu,mweupe [emoji23][emoji23][emoji23] ila sina kipara.
Kama huo mkono ulioshika bia ni wako na unasema mweupe basi unahitaji kujiangalia tena kwenye kioo.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kama huo mkono ulioshika bia ni wako na unasema mweupe basi unahitaji kujiangalia tena kwenye kioo.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji41] ni wangu mbona ni moja Kati ya mikono mieupe kabisa.
 
Ukitaka kuishi vizuri na mkazidi kumpenda mke wako unatakiwa uoe mtu mwenye vitu unavyovipenda mfano,kama unapenda mwanamke mwenye chura kidogo usijaribu kuoa ndizi mshale a.k.a flat screen,sababu ukioa ndizi mshale nawewe ulikuwa unataka chura kila ukimuona mwanamke mwenye chura utakuwa unashtuka na roho inakuuma,na kujipa moyo eti mwanamke ni tabia, au mfano mkeo hana chura itabidi utafute bekitatu asiye na chura ili mkewako apone,kuna mtu alikuwa anatafuta beki tatu ila akatoa vigezo eti asiwe na chura,kufwatilia kumbe yeye hana sasa akawa anaogopa,ndo maana nikaja kuanzisha huu Uzi.
Kweli asee mm binafsi nikiolewa na mwanaume mweupe afu mda ote anatabasam yaan ntapata tabu ndoani mbka basi mda ote ntaona kuna kitu hakiko sawa kwa fundi angu aka mme.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ati ndizi mshale waja mko na maneno sana
 
Ukitaka kuishi vizuri na mkazidi kumpenda mke wako unatakiwa uoe mtu mwenye vitu unavyovipenda mfano,kama unapenda mwanamke mwenye chura kidogo usijaribu kuoa ndizi mshale a.k.a flat screen,sababu ukioa ndizi mshale nawewe ulikuwa unataka chura kila ukimuona mwanamke mwenye chura utakuwa unashtuka na roho inakuuma,na kujipa moyo eti mwanamke ni tabia, au mfano mkeo hana chura itabidi utafute bekitatu asiye na chura ili mkewako apone,kuna mtu alikuwa anatafuta beki tatu ila akatoa vigezo eti asiwe na chura,kufwatilia kumbe yeye hana sasa akawa anaogopa,ndo maana nikaja kuanzisha huu Uzi.
utaoa lakini utakutana na wengine zaidi za mke wako. haya mambo ni mungu tuu.
 
Watu ni wengi sana kwa nini ufanye uamuzi ukiwa mtaa mmoja tu?;tembea mkoa kwa mkoa,nchi kwa nchi ....tafuta mtu sahihi atakayekupa furaha na amani katika maisha.
 
Back
Top Bottom