toa oder mkuu....usipitwe na mAmbo hayoDooh kweli uzeee umeshikahatamu...nasinzia hatarii.
Ninunulie pair mojaHakika huku ni kupatwa kwa soksi
Hauna na soksi za jinsia ya wenzetu!?..Najua hushindwi kitu, muzee fulu ma idea kwa head yako, chukua vipimo kwa Jolie Jolie tengeneza bidhaa matata!.usiogope mkuu ....kesho saa 6 mchana tarajia kupokea mzigo wako
hahaaa vipimo kwa jolie tena ....jolie Dada yangu huyo mimi nawezaje kumpima papuchi """??Hauna na soksi za jinsia ya wenzetu!?..Najua hushindwi kitu, muzee fulu ma idea kwa head yako, chukua vipimo kwa Jolie Jolie tengeneza bidhaa matata!.
Polee rudi kalale najua nyie Majasusi ya Mahaba sasa hivi mpo viwanja na hivi weekend!!..
toa oder mkuu....usipitwe na mAmbo hayo
hahaaa ukampime nani sasa ...shunie au??Nipe mita nikakusaidie kupima!..
hapo sawa mkuuNshatoa tayari nataka pisi 3.
Hapo kuja kulala J3!..Leo jiandae kukesha na Jpili kumalizia mkesha!... Lakini sijui kwanini Jpili mchana unakuwaga mrefu na usiku mfupi tu!!..😀
HahahaHakika huku ni kupatwa kwa soksi
Hebu kajaribu tuoneee[emoji16][emoji16][emoji16]Huoni hizo soksi ni size ya miguu ya mtoto mchanga hiyo!!.. Au unataka uione moja imevaliwa?.
hahaa hapo sawa....si nikampime dada yako!!!..😉