Zinaa katika uislamu....

Mohamadi alikua mtu wala hakuna tabu kupata usumbufu kutoka kwa binadamu, kituko ni huyu mnaedai ni Mungu kupigwa na kutemewa mate na alio waumba, kwa kweli Muumba wa mbingu na nchi amekosa namna ya kumuokoa kiumbe wake mwanadamu, kutoka kwa viumbe wake mashetani, mpaka aje apigwe yeye mwenyewe na hao hao aliwaumba mwenyewe , hiki ni kituko cha miaka yote
 
Waukaye ni heri ungenifundisha kwa kuniwekea Ushahidi kwamba Abram alipata wahyi toka kwa Mungu kwamba ampge mjengo house girl wake
lakini ushauri umetoka kwa mkewe bi Sarah


Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ushahidi gani kijana Abraham alichofanya hakina tatizo ndio maana Mungu wala hakumkanya popote zaidi yule mtoto Mungu alimbariki kweli kweli, tena alijua kuna wapuuzi kama wewe ambao mtakuja na kujaribu kuleta kasoro kwa mtu huyu Ibrahim , hili ndio jibu lenu muafaka

MWANZO 12:3
";Nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani; na katika wewe jamaa zote za dunia watabarikiwa";

sasa wewe endelea kumumunya maneno, nafikir maana ya laana na baraka zinafahamika, wewe nani wa kumsingizia uovu Ibrahim ? ahahahaahhhahhaha
 
Kumbe Hujui Yesu alikuwa Mungu KAMILI na MWANADAMU KAMILI
au mungu wako uwezo huo hana
ulicho ANDIKA ni pale Yesu alipokuwa ktk hali yake ya kibinadamu MTUME na NABII
MUNGU WANGU NI RAHA TUPU


Sent using Jamii Forums mobile app
 
waukaye heri ungenifundisha umma wa Ibrahim kulikuwa bado Tora haijaja ningekuelewa kwa uzuri


Sent using Jamii Forums mobile app
 


Nimefuatilia kiasi post zako na unaojibishana nawo,
Nimeguduwa lipo tatizo kwanza la kuelewa ni vipi mafundisho ya uislam yalivyokuwa yakiufikia umma,
Mafundisho ya Uislam yalitufikia kwa njia. Kuu mbili tu,
Njia ya kwanza ni WAHAYI na njia ya pili ni ILHAM.

1. WAHAYI = tunapata Qura'n (kupitia Malaika JIBRIL( ROHO TAKATIFU)

2. ILHAM = tunapata hadithi( kupitia MAONO)

Na mafundisho juu ya dini ktk njia zote hizo mbili yametoka kwa Allah.kama alivyo fahamisha ktk quran 53: 3-4
وما ينطق عن الهوى (٣)
Hasemi huyo mtume(s.a.w) kwa kujifurahisha tu( ktk masula ya dini)

إن هو إلا وحى يوحى (٤)
Isipokuwa hicho asemacho ni wahyi( uteremsho kutoka kwetu).

Sasa suala la ndoa ya Mut'ah alioruhusu ni Allah kupitia kwa mtume wake kwa njia ya ilhamu na mtume akawaruhusu waislam wa pale vitani aliokuwa nao sio wale waliobaki majumbani, pia Allah akaharamisha kwa njia ya ilham kwa kupitia kwa Mtume wake aliposema

إني كنت أذنت ألإستمتاع من النساء ، وإن الله قد حرم ذلك إلى بيم القيامة
Nilitoa ruhusa ya kujistàrehesha( kwa ndao ya muda mfupi muta'h, na hakika Allah ameharamisha hilo kuanzia leo mpaka siku ya qiyama.

Kwa hiyo alilo kwisha haramisha Allah kupitia kwa Mtume(saw)ni HARAMU kwa kila anaejiita Muislam, na kama yupo yeyote, anadai ili
halalishwa basi na anywe pombe maana awali waislam walikuwa wakinya pombe na mtume akiwepo na huku wakiendelea kufanya ibada zao, mpaka ilipokuja haramishwa, pia ni sawa na swala la Muta'h. mtu asinganganie mut'ah. Na pombe ahalalishe ktk hayo madhehebu yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

ZINAA ktk uislam ni kuingiza utupu wako ktk utupu wa mwanamke ambae si mke wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwa Mtumwa kisheria

Huyo ni halali kwako kwa mujibu wa Dini yetu
una la kusema Mfiaukweli?!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo imeshajadiliwa hapa na references zikaletwa. In fact kuna mtu alisema hadi watoto walio katika himaya ya mkono wa kulia wa muislamu.
It wasn't me; nimejifunza kwenye uzi huu huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…