Zinaa katika uislamu....

Mbona aya ipo dhidi yako

Issa mwana wa Maryam,ni Mtume tu wa Mola wetu

wala si Mungu na wala hafanani na hilo



Sent using Jamii Forums mobile app

Yesu ni MUNGU KAMILI
na ni MWANADAMU KAMILI
UWEZO WA KUWA KIHIVYO MUNGU WANGU ANAO
ATAKALO HUWA NA HANA MSHAURI
sasa Mungu wako kama uwezo huo hana na ana washauri kwamba hili unaweza na hili huwezi sawa
na hayanihusu, endelea kumsujudia mkuu ruksa


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
STAY BLESSED and consider yourself ignored!
 
Wap Yesu alisema yeye ni Mungu au alimiambia mumuabudu? mbona unamsemea Yesu wakati alifundisha na aliishi hapa duniani
 
Acha vituko sababu ya kubadilishwa jina ni kuwa baba wa mataifa au kupewa ruhusa na mkewe kumuingilia kijakazi? acha usungura hapa

Jiulize hadi Mungu Anamwambia uende mbele yangu ukawe Mkamilifu
jee ni ukamilifu badala ya kumuomba Mungu Akupe mtoto unasikiliza ushauri wa mkeo
baada ya Toba Ndipo Mungu Akambadilisha jina na kumfadhiria kwa Baraka


Sent using Jamii Forums mobile app
 
panya? Sasa Nawewe unaemuita mwenzako panya Allah atakupeleka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo anamaanisha mafundisho anayoyatoa ni ujumbe tosha kuwa yeye ametoka kwa Mungu , wewe unaleta ujanja ujanja
MARKO 10:18
"; Yesu akamwambia, kwa nini kuniita mwema? hakuna aliye mwema ila mmoja ,ndiye Mungu";

sasa kama Yesu anasema yeye sio mwema , na anakiri kuwa Mungu pekee ndio mwema hauoni aibu kuokoteza
 
Nimejiuliza na nimesoma kuwa hakuna mahali popote Mungu alimkemea Ibrahim kuzaa na mjakazi, tena kuonyesha mapenzi na mtoto yule jina likatoka kwa malaika wa bwana , hoja yako ni DHAIFU sana
 

Usijifiche huko bro na kuitia quran ugumu, hali allah anamuagiza mjumbe wake kuwa KILA MWANAMKE MUISILAMU RUKSA...wewe unambishia kwa kipunjo
wakati allah amesha bainisha wepesi wa quran
wee umebakia ni nzito


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kakufundisha nani ulicho ANDIKA
Hata muhammad aliwaagiza WAUMINI wake
View attachment 1001201 au wewe huhusiki


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo aya mbona iko sawa, sasa kama picha zinafungua watu si ni kweli kuna picha kibao za Yesu akiwa kavaa kikaptula au vinguo vya watoto, nyingine kavaa sijui ni taulo pale msalabani, hizi picha ajachora muislamu hivyo , kwa vile mmechora wenyewe maana yake mnazipenda, mimi nimekukumbusha unachopenda kuona na kuchora
 

Halija pita hadi Leo alio waagiza hawali wala kugusa mzoga wake
ila kuna kiumbe alimbishia Mungu na karuhusu nyama ya nguruwe iliwe mpaka mzoga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…