Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,912
- 3,021
Uislam umeruhusu mpaka wake wanne, je ukiamua kuoa mmoja tu unakua unapingana nao? Kuna vitu kuvifuata au kuacha ni hiari yako tu,Kwa hiyo kuna hiari ya kufuata au kutofuata jambo katika Uislamu?
Uislam umeruhusu mpaka wake wanne, je ukiamua kuoa mmoja tu unakua unapingana nao? Kuna vitu kuvifuata au kuacha ni hiari yako tu,
Kifupi hata Uislam ni hivyo hivyo kua zikikutana tupu (nyuchi) mbili za ambao hawajaoana ni Zinaa, ila sasa Uislam umeenda mbali zaidi kua,...sina nia ya kukashifu dini ya mtu au mtu binafsi ila naomba ufafanuzi. Zinaa inatafsiriwaje katika Uislamu? Kwa Mkristo kufanya ngono nje ya mahusiano ya ndoa ni ama uasherati (in case mmoja wa wahusika wa hicho kitendo hana ndoa) au uzinzi (kwa muhusika aliemo kwenye ndoa).
Nyie ndugu zetu Waislamu mnautafsiri vipi uzinzi?
Niziwache ni lahaja ya wapi mkuu, nashindwa kufuatilia comment sababu ya kiswahiliii kibovu sanaMimi uislamu wangu ni wa aya na hadithi,sikamati aya peke yake niaziwacha hadithi.ama nikamate hadithi peke yake niziwache aya.
Kwa hivyo kigezo cha kutokuwepo aya hakimati sana upande wangu kwa kuwa aliyeteremshiwa hizo aya nayeye ana nafasi ya kufuatwa kama aya zinavyotaka afuatwe.
Weka aya ambayo imeruhusu
Alafu weka aya ambayo imelazimisha.mana usije changanya kati ya uruhusa na ulazima.
Mimi kitabu nilicho kisoma ni waisilamuKitabu kipi Chief?!
labda tupe kimoja tu ambayo ww umekichimba na kutoka na Dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona ukiambiwa umekuja kukashifu unakataa ndiyo maana nimesema wewe ni mnafiki
Point yako ni hii
Katika research zako ulivyoona hili suala la muta’a ukaona labda unaweza kuanzisha mada ili utumie hoja hii kukashifu au kuchallenge uislam kwa kuwa wewe ni mkristo,,,huku ukiamini kwamba uko na uwezo wa kufanya hivyo kwa dhana na sababu na data ulizonazo kuhusu hili
Kumbe ulikua unajidanganya na kwa bahati mbaya ulisoma hili suala kishabiki ndiyo maana umekurupuka kuleta mada alafu hoja sahihi za kusimamia huna
Kwa msingi wa elimu thabiti huwa hatusomi kishabiki tunasoma hasa kujua ukweli kwa namna yeyote na sio kusoma ili ujiridhishe na matakwa utayo huko ni kuikosea elimu adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni elimu nyingine kabisa ya kukaa kitako ukafundishwa. Kwanza kajifunze ilikuwaje mungu akawaachia wahuni wamsulubu mwanawe hali akiona
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayat nimesha iangalia
Nada nwengine mpya hii kakaUna uhakika kuwa siyajui hayo uliyoniambia nikajifunze? Ninajua ni kwa nini Bwana wetu Yesu aliteswa na kufa msalabani ila sielewi hiki kitu;
Kwa mujibu wa Qur'an Surat An-Nisa 4 verse 157, Allah alimuokoa Issah asisulubiwe lakini Allah huyo huyo akamuacha mtume wake Mohammed alishwe sumu iliyowekwa kwenye nyama ya mbuzi (au ni kondoo kwa mujibu wa maandiko mengine) Sahih al-Bukhari, Volume 3, Book 47, Number 786)?
Waweza kunifundisha hilo?
malizia ayat ukishindwa kuoa mmoja basi fanya basi uwaingilie wale UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME={vibubu)Uislam umeruhusu mpaka wake wanne, je ukiamua kuoa mmoja tu unakua unapingana nao? Kuna vitu kuvifuata au kuacha ni hiari yako tu,
Ndipo nikauliza wake zako ruksa kuwaingiliaKifupi hata Uislam ni hivyo hivyo kua zikikutana tupu (nyuchi) mbili za ambao hawajaoana ni Zinaa, ila sasa Uislam umeenda mbali zaidi kua,
1) Sio lazima zikutane nyuchi tu, hata ukiangalia video ya ngono umezini,
2) ukimuangalia na kumtamani asie mke/mme wako umezini
3) Pale juu umetaja binadamu tu, kiislam hata ukimuingilia au kuingiliwa na kiumbe asie binadamu umezini,
4) Ukitembea "Uchi" umezini pia, Hapa Neno "Uchi" lina mipaka yake between HE na SHE, ni topic ingine,
5) Umewaza uende kona Bar au sehemu kama hizo ukanunue "mzigo" hapo ushazini tayari iwe umeenda au hujaenda, au umeenda umepata au hujapata
6) .......nk
Alieruhusu kuwaingilia wake zako ni nani?Ndipo nikauliza wake zako ruksa kuwaingiliajee hawa UNAO WAMILIKI MKONO WA KUUME NI WAKE ZAKOmbona hamnijibu walimu
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Mbona povu ndugu, kumbuka sijataja dini yeyote hapo lakini tayari povu lishakujaa.......Nyie huko mnapewa nini !? Vipande vya nguruwe na wine !? Usisahau 'Maria' pia ni bikira, usishangae akawemo kwenye hiyo hisabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nada nwengine mpya hii kaka
Ndg yangu hivi huna hata chembe ya uoga?
Hii ni dini ndg na Anasema Bukhari (Allah amuwie radhi) Elim itangulie kabla ya kauli na vitendo.
Kuna sehem nimekunukuu kuwa" kwa mtazamo wako wewe"
Sasa hata Mtume swalallah alayh wasalam hakuwahi hukumia jambo lolote kwa matamanio ya nafsi yake.
Kwahiyo ndg yangu tukae tusome.
Jambo la pili
Ndoa ya Mut-aa,ni baina ya mwanaume na mwanamke
wao wawili tu
Bila Muozeshaji(Walii) wala Mashahidi
Na Mola,ametutaka tuwaoe wanawake kwa Idhni ya Baba zao(Walii)
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatofauti gani na kuchukua kahaba kwa makubaliano yenu wawili? Kwahiyo ndoa ya mutah ni halali kwa waislamu hii inamaana kwamba kumbe makahaba wale wanafunga ndoa za mutah na ni halali kwa mujibu ya uislamu?
Inatofauti gani na kuchukua kahaba kwa makubaliano yenu wawili? Kwahiyo ndoa ya mutah ni halali kwa waislamu hii inamaana kwamba kumbe makahaba wale wanafunga ndoa za mutah na ni halali kwa mujibu ya uislamu?