Zinaa huleta uufukara
Nimeamini.....
Hili suala tunalichukulia powa lakini ndugu zanguni swala la zinaa ni janga kubwa Sana linalochangia kuleta umaskini Sana.
Hebu mfano tu.
nauli ya demu 5,000/= au zaidi.
Gesti 20,000/" au zaidi
Kondom pakti mbili 2,000/=
Posho ya demu 20,000/=
Vyakula na vinywaji kidogo 20,000/=
Jumla hapo ni elfu 67,000/=.... Sasa Kwa gharama hizo piga mara mademu 20 au nakuendelea.
Jamani.
TUACHE ZINAA.