Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
habari za ugomvi wa kugombea urais ccm hata zisipoandikwa zipo mpaka vilabu vya pombe za kienyeji,wana kilo za kutosha za sumu ya kuuana.
chadema kama kungekuwa na mgogoro ungesubiri gazeti moja liandike siku moja na baada ya wiki mbili lingine lije na habari ileile copy and paste kweli?watanzania tumekuwa wavivu wa kufikiri kiasi hiki?
barubaru,ritz,ff,malaria sugu,rejao na wenzenu mimi nilikuwa nafikiri mnalia winga hela za mafisadi kumbe hata uwezo wa kuchanganua ni mkenge upi muingie hamna?poleni yenu na jaa zenu zitawaua.
kwanza tupo kwenye msiba.tucheni endeleeni kula dhulma zenu.
chadema kama kungekuwa na mgogoro ungesubiri gazeti moja liandike siku moja na baada ya wiki mbili lingine lije na habari ileile copy and paste kweli?watanzania tumekuwa wavivu wa kufikiri kiasi hiki?
barubaru,ritz,ff,malaria sugu,rejao na wenzenu mimi nilikuwa nafikiri mnalia winga hela za mafisadi kumbe hata uwezo wa kuchanganua ni mkenge upi muingie hamna?poleni yenu na jaa zenu zitawaua.
kwanza tupo kwenye msiba.tucheni endeleeni kula dhulma zenu.