Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 990
Huko Venezuela Bungeni hali ilivurugika baada ya wabunge wa upinzani kuzuiwa kuzungumza na viongozi wa chama tawala. Kwa jinsi Spika na Naibu wake wanavyoliendesha Bunge letu nadhani siku zi nyingi haya yatatokea.
Eyewitness News: Fistfight in Venezuelan Parliament
Eyewitness News: Fistfight in Venezuelan Parliament