Hadi sasa biashara ya Zitto na Kitilla imekwisha,sasa misifa yao, yao dhidi ya CCM inaanza watafuna haswa.Watakuwa busy sana na viporo vyao hivi for the rest of their political careers .
CDM wanahitaji uvumilivu tuu, tayari vijana wameshapata kimarua ambacho ni endelevu.CCM watajitetea kwa kuwaangamiza kabisa n akuwafuta ktk ratiba ya nchi.