Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,139
- 33,497
UKWELI NI KWAMBA HAMNA HATA SUMNI ILIYO ONGEZWA. MASAA MACHACHE YAJAYO(leo hii) UTAPATA MREJESHO HUMUSema nimekumbuka sana enzi za wa kutabasamuš¤ !! July Ilikua mtu hata huwaziiiii!!
UKWELI NI KWAMBA HAMNA HATA SUMNI ILIYO ONGEZWA. MASAA MACHACHE YAJAYO(leo hii) UTAPATA MREJESHO HUMUSema nimekumbuka sana enzi za wa kutabasamuš¤ !! July Ilikua mtu hata huwaziiiii!!
Tueleweshe Mkuumambo yaleyale ya magufuli ndio yameongezwa kwenye mishahara naamini umenielewa
Magufuli hakuongeza vhochote na huyu hajaongeza chochote licha ya ahafi yake aliyoitoa siku chache baada ya mfungo wa ramadhani
Tayari wameweka?Yametimia HAKUNA LOLOTE
BadoTayari wameweka?
Hahahahaa .....mi5 tenaaaIshakua confirmed kwamba mitano tena?????!!
Make Mama hatabiriki huyuuu!
Akinifanyia mserereko ntajiteka aseehh.Na raia tunavodanganyika na kusahau kirahisi sasa!!
Afanye manuvaa na mserereko basi !
DP wakitupa chetu ,au siyooo??!Hatimaye patupu tena duuh naskia mwez wa tisa mambo ndio yananyooshwa
Hakuna kama yule Mzee bwanaaaHakika alijua kuupiga mwingi!! Awamu yake hata Mie hohehahe wa chini Kabisa vi marupurupu vilikua nje nje!
We nakuaminia hunaga mbambamba kwenye hiliUKWELI NI KWAMBA HAMNA HATA SUMNI ILIYO ONGEZWA. MASAA MACHACHE YAJAYO(leo hii) UTAPATA MREJESHO HUMU
NakubaliHAKUNA KITU. NIAMINI MIMI NIAMINI MIMI
Watu Wana payroll mkononi wanajua kinachoendeleaTayari wameweka?
Sio payroll tu na salary imesha wekwa itakuwa inaingia kwa awamuWatu Wana payroll mkononi wanajua kinachoendelea
Tutajua muda si mrefuWasalam mabibi na mababu,
Hatimae siku hazigandi bhana ile mbivu na mbichi kujulikana soon, na ukwel usiopingika kuwa kwa sasa watumishi wa serikali wana shauku sn ya kuona mabadiliko ya mshahara wa mwezi July kutokana na kile kiloitwa kuongezwa kimya kimya, huku wengine wakiamini kutakuwa na nyongeza+increment.
Pamoja na yote lkn lipo kundi lingine ambalo limeshakata tamaa na wana imani ndogo San kuwa hakutakua na nyongeza ya maana huku wakifananisha na namna nyongeza ya 23% ilivyofanyika mwaka jana...
Yote kwa yote yetu macho kuangalia itakuwa n nyongeza yenye kuleta furaha au nyongeza ya kuzidisha stress!!!
TAFAKURI: Mama kwa namna anavyochezea spana sasa hv kuhusu Dp world ni hakika hana mtetezi na wa kumpamba isipokuwa amebakisha kundi moja tu nalo n la watumishi, sasa je watumishi akiwatia stress kwa nyongeza isiyo na tija huyu Mama atatetewa na nan! Nan ataemsifia na kumpamba! Mana hadi wananchi wa Hali ya chini wasiojua mambo wanachukizwa sasa na hyo Dp world...
Umasikini wa kifikra kabisa huu, ShenzWatumishi tz nzima wapo ka laki 5 ivi ss hawa wana impact gani kwenye nchi yenye watu milion 60 na weng wao n waalimu ambao maisha yao n choka mbaya kwa wengi wao so sion impact yyte kwa mtu anaetegemea laki 5 au 6 kwa mwezi watumishi wote n wapumbavu tu labdawale ambao wapo kwenye mashirika ya umma ila sio hawa wa tamisemi pumbav zao maskin sn huwez kaa mwaka mzima unasubiria nyongeza ya elfu 9