Watumishi wa serikali ni Kundi linalodharauliwa na kuonekana halina madhara(impact)

Gai da seboga

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
482
969
Wasalam mabibi na mababu...

Hili kundi linaloitwa watumishi wa serikali lina safari ndefu sana kutoboa kimaisha, hili kundi thamani yake inayochukuliwa na wanasiasa ni ndogo mnoo, sijajua linashushwa hadhi kwa vile halina desturi ya kuandaamana na kufanya migomo!

Niki kumbuka kipindi cha magufuli halilifutia hili kundi annual increment ambazo Zipo kisheria kabisa, hakuna nyongeza alowahi kuifanya katika utawala wake na alidiriki kusema wazi hadharani kuwa 'kama unaona mshahara haukutoshi basi acha kazi' mpk mtu anafikia kusema hivi manake amekumudu na haufurukuti.

Nikija kipindi cha huyu mama mwaka jana kaweka 23% ambayo kimsingi ni kama iliwabeba wachache tu, na ilipofika mwaka huu katoa porojo nyingi sana za kurudisha annual increment km ilivyo miaka ya nyuma na kujinasibu kuweka nyongeza ya kimya kimya lkn kilichotokea leo kwa watumishi hakuna ata thumni iliyo ongezeka hii manake nini n kuwa hili ni Kundi ambalo linaweza kufanyiwa chochote kile mana halina madhara kwa serikali, Yani wanajua kulimudu kutokana na kundi hili kutojua kusimamia haki zake pamoja na kujitambua.

Mama hana presha kabisa na hili kundi mana washauri wake kina mwigulu washampa mbinu za kucheza na hili kundi imagine sasa hv watumishi watatoa matusi ya kila namna kutokana na uchungu wa kutoongezewa kitu tena ikiwa Rais wa nchi kaahidi kabisa lkn ikifika kipindi cha kukaribia uchaguzi kukiongezwa kidogo au lile kundi kubwa la watumishi likipewa posho za kusimamia uchaguzi baaasi matusi yoote tunasahau na kuanza kujikomba komba kwa Mwenye nchi.

Mzee jakaya kikwete historia ITAENDELEA kumtambua kwa juhudi zake na mapenzi yake alokuwa nayo katika kundi hili la watumishi kwani alijua kuwapa morali na motisha ya watu kufanya kazi bado hajatokea Rais kumpiku kikwete hususani katika maslahi ya watumishi.

Hivi Mama samia unadhani kuanzia jumatatu watu watafanya kazi kiufanisi na kwa morali kwa Kitendo hiki ulichowafanyia kweli??? Yani nyie mnalipana maposho ya kufa mtu ila kuwaongezea wenzenu ata hii keki ya taifa tuifaidi wote hamtaki!!! Aya masononeko ipo siku mtalipa tu...
 
Wasalam mabibi na mababu...

Hili kundi linaloitwa watumishi wa serikali lina safari ndefu sana kutoboa kimaisha, hili kundi thamani yake inayochukuliwa na wanasiasa ni ndogo mnoo, sijajua linashushwa hadhi kwa vile halina desturi ya kuandaamana na kufanya migomo!

Niki kumbuka kipindi cha magufuli halilifutia hili kundi annual increment ambazo Zipo kisheria kabisa, hakuna nyongeza alowahi kuifanya katika utawala wake na alidiriki kusema wazi hadharani kuwa 'kama unaona mshahara haukutoshi basi acha kazi' mpk mtu anafikia kusema hivi manake amekumudu na haufurukuti.

Nikija kipindi cha huyu mama mwaka jana kaweka 23% ambayo kimsingi ni kama iliwabeba wachache tu, na ilipofika mwaka huu katoa porojo nyingi sana za kurudisha annual increment km ilivyo miaka ya nyuma na kujinasibu kuweka nyongeza ya kimya kimya lkn kilichotokea leo kwa watumishi hakuna ata thumni iliyo ongezeka hii manake nini n kuwa hili ni Kundi ambalo linaweza kufanyiwa chochote kile mana halina madhara kwa serikali, Yani wanajua kulimudu kutokana na kundi hili kutojua kusimamia haki zake pamoja na kujitambua.

Mama hana presha kabisa na hili kundi mana washauri wake kina mwigulu washampa mbinu za kucheza na hili kundi imagine sasa hv watumishi watatoa matusi ya kila namna kutokana na uchungu wa kutoongezewa kitu tena ikiwa Rais wa nchi kaahidi kabisa lkn ikifika kipindi cha kukaribia uchaguzi kukiongezwa kidogo au lile kundi kubwa la watumishi likipewa posho za kusimamia uchaguzi baaasi matusi yoote tunasahau na kuanza kujikomba komba kwa Mwenye nchi.

Mzee jakaya kikwete historia ITAENDELEA kumtambua kwa juhudi zake na mapenzi yake alokuwa nayo katika kundi hili la watumishi kwani alijua kuwapa morali na motisha ya watu kufanya kazi bado hajatokea Rais kumpiku kikwete hususani katika maslahi ya watumishi.

Hivi Mama samia unadhani kuanzia jumatatu watu watafanya kazi kiufanisi na kwa morali kwa Kitendo hiki ulichowafanyia kweli??? Yani nyie mnalipana maposho ya kufa mtu ila kuwaongezea wenzenu ata hii keki ya taifa tuifaidi wote hamtaki!!! Aya masononeko ipo siku mtalipa tu...
Ndio madhala ya kuwa mtumishi na hakuna wa Kugoma
 
Wasalam mabibi na mababu...

Hili kundi linaloitwa watumishi wa serikali lina safari ndefu sana kutoboa kimaisha, hili kundi thamani yake inayochukuliwa na wanasiasa ni ndogo mnoo, sijajua linashushwa hadhi kwa vile halina desturi ya kuandaamana na kufanya migomo!

Niki kumbuka kipindi cha magufuli halilifutia hili kundi annual increment ambazo Zipo kisheria kabisa, hakuna nyongeza alowahi kuifanya katika utawala wake na alidiriki kusema wazi hadharani kuwa 'kama unaona mshahara haukutoshi basi acha kazi' mpk mtu anafikia kusema hivi manake amekumudu na haufurukuti.

Nikija kipindi cha huyu mama mwaka jana kaweka 23% ambayo kimsingi ni kama iliwabeba wachache tu, na ilipofika mwaka huu katoa porojo nyingi sana za kurudisha annual increment km ilivyo miaka ya nyuma na kujinasibu kuweka nyongeza ya kimya kimya lkn kilichotokea leo kwa watumishi hakuna ata thumni iliyo ongezeka hii manake nini n kuwa hili ni Kundi ambalo linaweza kufanyiwa chochote kile mana halina madhara kwa serikali, Yani wanajua kulimudu kutokana na kundi hili kutojua kusimamia haki zake pamoja na kujitambua.

Mama hana presha kabisa na hili kundi mana washauri wake kina mwigulu washampa mbinu za kucheza na hili kundi imagine sasa hv watumishi watatoa matusi ya kila namna kutokana na uchungu wa kutoongezewa kitu tena ikiwa Rais wa nchi kaahidi kabisa lkn ikifika kipindi cha kukaribia uchaguzi kukiongezwa kidogo au lile kundi kubwa la watumishi likipewa posho za kusimamia uchaguzi baaasi matusi yoote tunasahau na kuanza kujikomba komba kwa Mwenye nchi.

Mzee jakaya kikwete historia ITAENDELEA kumtambua kwa juhudi zake na mapenzi yake alokuwa nayo katika kundi hili la watumishi kwani alijua kuwapa morali na motisha ya watu kufanya kazi bado hajatokea Rais kumpiku kikwete hususani katika maslahi ya watumishi.

Hivi Mama samia unadhani kuanzia jumatatu watu watafanya kazi kiufanisi na kwa morali kwa Kitendo hiki ulichowafanyia kweli??? Yani nyie mnalipana maposho ya kufa mtu ila kuwaongezea wenzenu ata hii keki ya taifa tuifaidi wote hamtaki!!! Aya masononeko ipo siku mtalipa tu...
 

Attachments

  • IMG_1465.MP4
    2.9 MB
Work under minimum stress, you poor civil servants. Wenzenu wafanyabiashara wanapambana. Nyinyi kutwa ni kukialia tu.

Imagine Wabunge wanagonga tu meza na vigeregere kule Bungeni, ila mwisho wa mwezi kila kichwa kinakunja milioni 12! Wewe na degree yako unakimbizwa kama kichaa mwezi mzima! Halafu unalipwa laki 6 miaka nenda!


Na hapo hujakopa ili ujenge kibanda cha kukuhifadhi wewe na familia yako. Amkeni kutoka usingizini. Hii nchi haina usawa hata kidogo. Hivyo fanyeni kazi kwa kiwango cha chini kabisa ili hao wakoloni weusi watambue fika mna vinyongo kwenye mioyo yenu.
 
Wasalam mabibi na mababu...

Hili kundi linaloitwa watumishi wa serikali lina safari ndefu sana kutoboa kimaisha, hili kundi thamani yake inayochukuliwa na wanasiasa ni ndogo mnoo, sijajua linashushwa hadhi kwa vile halina desturi ya kuandaamana na kufanya migomo!

Niki kumbuka kipindi cha magufuli halilifutia hili kundi annual increment ambazo Zipo kisheria kabisa, hakuna nyongeza alowahi kuifanya katika utawala wake na alidiriki kusema wazi hadharani kuwa 'kama unaona mshahara haukutoshi basi acha kazi' mpk mtu anafikia kusema hivi manake amekumudu na haufurukuti.

Nikija kipindi cha huyu mama mwaka jana kaweka 23% ambayo kimsingi ni kama iliwabeba wachache tu, na ilipofika mwaka huu katoa porojo nyingi sana za kurudisha annual increment km ilivyo miaka ya nyuma na kujinasibu kuweka nyongeza ya kimya kimya lkn kilichotokea leo kwa watumishi hakuna ata thumni iliyo ongezeka hii manake nini n kuwa hili ni Kundi ambalo linaweza kufanyiwa chochote kile mana halina madhara kwa serikali, Yani wanajua kulimudu kutokana na kundi hili kutojua kusimamia haki zake pamoja na kujitambua.

Mama hana presha kabisa na hili kundi mana washauri wake kina mwigulu washampa mbinu za kucheza na hili kundi imagine sasa hv watumishi watatoa matusi ya kila namna kutokana na uchungu wa kutoongezewa kitu tena ikiwa Rais wa nchi kaahidi kabisa lkn ikifika kipindi cha kukaribia uchaguzi kukiongezwa kidogo au lile kundi kubwa la watumishi likipewa posho za kusimamia uchaguzi baaasi matusi yoote tunasahau na kuanza kujikomba komba kwa Mwenye nchi.

Mzee jakaya kikwete historia ITAENDELEA kumtambua kwa juhudi zake na mapenzi yake alokuwa nayo katika kundi hili la watumishi kwani alijua kuwapa morali na motisha ya watu kufanya kazi bado hajatokea Rais kumpiku kikwete hususani katika maslahi ya watumishi.

Hivi Mama samia unadhani kuanzia jumatatu watu watafanya kazi kiufanisi na kwa morali kwa Kitendo hiki ulichowafanyia kweli??? Yani nyie mnalipana maposho ya kufa mtu ila kuwaongezea wenzenu ata hii keki ya taifa tuifaidi wote hamtaki!!! Aya masononeko ipo siku mtalipa tu...
Pole mkuu
 

Attachments

  • 78AC8C76-AFB2-4170-A8CF-A9E2AEF27B05.jpeg
    78AC8C76-AFB2-4170-A8CF-A9E2AEF27B05.jpeg
    34.6 KB · Views: 2
Watumishi this is your time vyama vya wafanyakazi si vipo dealini na viongozi wenu watoe majibu kwanini serikali imewadanganya achaneni na mama komaeni na viongozi wenu watoke matamko otherwise mtaendelea chezewa tu

Msigwa si msemaji wa serikali mbona kwenye hili aji na ufafanuzi kipi kimetokea salary haijaongezeka, mbona kwenye DP WORLD wanapishana kwenye media kutoa ufafanuzi
 
Watumishi this is your time vyama vya wafanyakazi si vipo dealini na viongozi wenu watoe majibu kwanini serikali imewadanganya achaneni na mama komaeni na viongozi wenu watoke matamko otherwise mtaendelea chezewa tu

Msigwa si msemaji wa serikali mbona kwenye hili aji na ufafanuzi kipi kimetokea salary haijaongezeka, mbona kwenye DP WORLD wanapishana kwenye media kutoa ufafanuzi
Naunga mkono hoja
 
Watumishi this is your time vyama vya wafanyakazi si vipo dealini na viongozi wenu watoe majibu kwanini serikali imewadanganya achaneni na mama komaeni na viongozi wenu watoke matamko otherwise mtaendelea chezewa tu

Msigwa si msemaji wa serikali mbona kwenye hili aji na ufafanuzi kipi kimetokea salary haijaongezeka, mbona kwenye DP WORLD wanapishana kwenye media kutoa ufafanuzi
Wa-deal na wala rushwa?Wapo pale kupiga hela.Siyo kutetea watumishi.Mdomoni watabisha lakini vitendo vyao huwasuta.Wezi wakubwa wanao subiri kupanga vikao wajilipe kwa unono.Wabishe!
 
Wa-deal na wala rushwa?Wapo pale kupiga hela.Siyo kutetea watumishi.Mdomoni watabisha lakini vitendo vyao huwasuta.Wezi wakubwa wanao subiri kupanga vikao wajilipe kwa unono.Wabishe!
Huu ndio mda wakupima uwezo wao kwa sababu jana ile ile baada ya salary kutoka viongozi wa vyama vya wafanyakazi walipaswa kutoa tamko si kujificha ficha bora mama asingetamka angekuwa kama mwamba jamani hakuna hakuna siyo porojo ona sasa masaa 24 yamepita hakuna kiongozi wa serikali wala chama cha wafanyakazi aliyekuja na ufafanuzi kipi kimetokea
 
Back
Top Bottom