Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,121
-Juzi nilifurahi kweli pale finance minister wa Zimbabwe,Tendai Biti alipokata kutoa fedha kutoka hazina kwa ajili ya birthday ya Mugabe.safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gocha ya hommieyanayotokea zimbwabwe yanatokea india, brazil , kenya na kwingineko, hakuna jipya this is part of life propaganda tu za bbc
kabisa aisee ulaya mashariki kuna maisha ya dhiki mno, lakini hawaongelei ila kwa sababu ni africa ndo maana wanasema, huu ni ukoloni mamboleo siwezi kuukubhali, hata hapahapa tanzania maisha ni ya dhiki mno, tatizo siyo Comrade mgabe tatizo ni unyonyaji,yanayotokea zimbwabwe yanatokea india, brazil , kenya na kwingineko, hakuna jipya this is part of life propaganda tu za bbc
kabisa aisee ulaya mashariki kuna maisha ya dhiki mno, lakini hawaongelei ila kwa sababu ni africa ndo maana wanasema, huu ni ukoloni mamboleo siwezi kuukubhali, hata hapahapa tanzania maisha ni ya dhiki mno, tatizo siyo Comrade mgabe tatizo ni unyonyaji,
Hahahaha! Angalia mke wa huyo nephew wa Mugabe alivyoshindwa kujibu swali kwamba wanaishi maisha ya kifahari wakati millions of people wanakufa njaa. Typical Miafrika.
http://news.bbc.co.uk/1/hi/programmes/newsnight/8509129.stm
hali ya EA (Kenya, Tanzania na Uganda), almost zinafanana au Tanzania imezidi kidogo in term of rushwa na ufisadi, lakini swali la kujiuliza mbona hao Waingereza hawaipigii kelele Tanzania au Uganda, Jibu la kenya ni sawasawa na la Zimbabwe, hizo nchi ni za masettler, kwa Africa Ukiigusa Zim na Kenya ni Kuigusa Uk moja kwa moja,
hivyo vikwazo walivyowekewa viongozi wa Kenya viliwapasa wakina Mkapa, Chenge na genge lao lote kwa sababu Waingereza ndio wenye kujua hizi issue za ufisadi wa Rada kuliko hata sisi, lakini wako kimya kabisa
WACHA1 ndugu yangu jitahidi sana kuijua siasa ya dunia na uwe makini sana na hivi vyombo vya habari vya Magharibi, vipo hapo kwa maslahi yao zaidi
Nafikiri Wacha1 huijui story ya Zimbabwe na UK propaganda ya BBC ni sawa na kutegemea RTD itangaze habari nzuri za vyama vya upinzani Tz ni sawa na kutegemea CNN itangaze habari nzuri za Irani
ni kweli sikatai watu wa Zimbabwe wanapata tabu lakini siwezi ku rely on BBC News kuhusu Zimbabwe hizo propaganda ni za masetra wanaodai kurudishiwa mashamba waliyonyang'anywa na kupewa wananchi wa Zimbabwe
masetra hao kwenye uchaguzi uliopita walichanga mabilioni ya pound kuuangusha utawala wa Mugabe unataarifa kuwa serikali ya Brown ilitoa £3Bil siyo shilingi kwa ajili hiyo na UK haijakanusha hadi leo sasa ulitegemea BBC watangaze nini sasa wakati ni chombo cha serikali
wote tunajua yanayotendeka Zimbabwe lakini ukitaka kujua habari zaidi sikiliza vituo mbalimbali try tu be careful na vyombo kama BBC, CNN,CBN, Sky News ni vya propaganda za nchi za Magharibi, balance na vyombo kama RussiaToday RT, Aljazeera, etc unaweza kupata mchanganyiko mzuri.
Luteni,wananchi walimkataa kwenye kura,ndio tatizo lilipoanza.Look,Kaunda aliloose uchaguzi akakubali though alikuwa founding father of zambia.Mugabe anaona kuwa Zimbabwe ni kama mali yake.
Yes,Wazungu wana hypocricy,at the same time jiulize 30 yrs in power,unataka nini?????
Unafikiri sijui story ya Zimbabwe kwa sababu nimekwambia uangalie hiyo documentary au vipi? I mean you become a great tinker and judge somebody because he/she has told you to watch a documentary?
Propaganda? Nini maana ya propaganda, kueneza maneno na vitu vya kizushi na kizandiki ambayo havipo, sasa with your clear mind ile documentary ni ya uongo? Na kila kitu ambacho BBC, CNN, CBN na Sky news ni propaganda. Tuhamie kuangalia Russia today RT ambao miaka ya nyuma walikuwa wanagawa magazeti ya bure ya Urusi Leo au Aljazeera wanao-support bombers na kila uharamia ambao wanapewa fweza za kuendesha kituo chao na BBC, au tubadilike tuwe kama Somalia.
Unaongelea fweza za uchaguzi uliopita ambao ulifanyika, nini £3 billion kwa UK wao si wanachapisha tu na kukwambia hiyo ndio value (refer to the on going recession), Mugabe alitumia ngapi? Mbona basi asiwagawie opposition ili kufanya fare election? Mbona husemi fweza walizotoa UK kwa ajili ya compensation kwa mashamba ya wazungu ili wapewe waafrika. Mbona husemi kwa nini Mugabe alishindwa ku-account billions of £'s alizopewa na UK kufuatia makubaliano ya Lancaster? Mbona husemi jinsi Gukurahundi ilivyowaua innocent civilian people of Zimbabwea? Mbona husemi jinsi 7th Brigade ilivyoua wananchi kule Bulawayo? Mbona husemi mamillioni ya Zimbabweans wanaovuka mpaka kila uchwao kwenda SA kujaribu japo kupata mlo wa uhakika japo moja? Huu ndio naita unafiki - Bob Mugabe juzi tu katumia fweza kibao kwa ajili ya nini kuzaliwa kwake who cares?
Tanzania tusitegemee UK kuwazuia mafisadi kusafiri au kuwachukulia hatua tufanye sisi wenyewe, funga jela Mkapa aliyechukua Kiwira na kufanya biashara Ikulu, weka ndani RA, EL, Chenge, Mramba waliokwiba BOT fweza za EPA au kurudisha na wahujumu wote wa uchumi. Whats happening in Zimbabwe can happen anywhere in the region. We are a sovereign State lets flush the mafisadi once and for all na sio kulialia tu kila siku or BBC, SKY et al hawatupendi? Sisi wenyewe hatujipendi.