mzanzibara-
Senior Member
- Feb 3, 2014
- 179
- 60
swadakta...unaitwa top queen of moroco road,i guess
wale vijana wa zamani, naomba mnisaidie wimbo 1 ulipigwa na vijana jazz kama sikosei au juwata,
yani kulikuwa na dada 1 alikuwa anaringia sana wanaume na kujifanya hataki kuolewa na wanyonge, yeye anataka wenye magari kama mtumba, ila hatimae alikuja akaolewa na mshona viatu, unaitwaje huu wimbo na uliimbwa na bend ganii
nitashukuru kwa msaada wenu
Sara wacha majivuno......Hee sara wacha majivuno husiwe kama Mwanaisha kanikataa kwa kuwa mimi ni mshona viatu eee
Kampata aaa mshikaji mwingine ehee heee heee mwenye gari kubwa sana mtumba kavunja uchumba Mwanaisha kwa kuwa mimi ni mshona viatu heee
chorus
Tamaa yako Mwanaisha ,itakuponza kwa kumfuata yule bwana mwenye mtumba
Mwanaisha mama ogapa sana mamaa kazi ni kazi mwanaisha bora mkono uende kinywani eeeeh......
URAFIKI JAZZ BAND
Duh. Na huu nitaupataje ?
kaka lucky saba saba asante sana,