Wimbo sio Nyimbo nduguNatafuta sana nyimbo ya "Lokua kanza-kwetu mbali" nyimbo inasikika kwenye original comedy ya zamani. Mwenye nayo msaada tafadhali
Kila nilifanyalooo wao haliwapendezi na Wala hawakumbuki usia wa baba yaooo,wadau nautafuta wimbo unaimbwa hivi
watoto wamekuja juu ,wanadai nyumba yao
Neema
Remmy inaitwa sauti ya mnyongebagamoyo kuna wimbo kaimba Remmy Ongala anasema akinywa gongo anafanya sana kazi kama unaujua jina lake naomba utupie hapa.
🙏🙏 Shukrani sana.
Hapa tuko pamoja sana mkuu.....Sikinde daima(damu damu).....
Pia zamani nilikuwa mnazi wa Vijana Jazz wana Pambamoto kabla haijaanza kupotea na kufifia kabisa....
Kuna wimbo unasema…
Mimi na wee na wee na wee
Tumeamua tusiachane mpaka kufa
Mimi nasema nawe wasema twaelewana
Tusipate machonganisho ya pembeni
Tuwe na umoja pia na raha vyote sawa…
Tumefika Moroo, kwa Mbaraka Mwishehe, Moro kwa Salum Abdallah…
Ebana huu wimbo unaitwaje?!
Dah umelenga mle mle.kuna wimbo nautafuta sikumbuki kama waliimba vijana Jazz au bendi gani, kibwagizo chake kilikuwa hivi "enyi wote wake zangu mapenzi yangu kwenu ni sawa mpendane ndio heshima ya ndoa ee"