Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,740
Miaka kipindi Cha mwinyi na mkapa ujambazi ulikuwa wa ubabe sana.
Majambazi wakitaka kukuvamia wanakutumia barua ujiandae tena barua utaipata mlangoni mwako au shirika la posta.
Idadi ya polisi kukabiri majambazi ilikuwa ndogo ukilinganisha na Sasa usalama ni mkubwa.
Kwa wale wa dar watakumbuka komando yoso mpaka kujiwekea utawala wao kwenye maeneo Yao.
Kuna story nyingi Kila mkoa na majambazi waliovuma na wengine kwa Sasa washafariki.
Ili la kutumiwa salamu ya ujiandae wanakuja liliwapa sana tabu wahusika wanaotakiwa kuvamiwa maana hata wakiripoti polisi ilikuwa kama kazi Bure.
Majambazi wakitaka kukuvamia wanakutumia barua ujiandae tena barua utaipata mlangoni mwako au shirika la posta.
Idadi ya polisi kukabiri majambazi ilikuwa ndogo ukilinganisha na Sasa usalama ni mkubwa.
Kwa wale wa dar watakumbuka komando yoso mpaka kujiwekea utawala wao kwenye maeneo Yao.
Kuna story nyingi Kila mkoa na majambazi waliovuma na wengine kwa Sasa washafariki.
Ili la kutumiwa salamu ya ujiandae wanakuja liliwapa sana tabu wahusika wanaotakiwa kuvamiwa maana hata wakiripoti polisi ilikuwa kama kazi Bure.