Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,555
- 13,039
Mpaka kufikia kumwomba radhi mkuu wa nchi
bwana Makonda zile bia ziliuzwa wapi? nauliza hivi maana huku mitaani kwa mangi bei imendlea kuwa ileile
Viongozi acheni ghiriba kupitia biashara za watu.
bwana Makonda zile bia ziliuzwa wapi? nauliza hivi maana huku mitaani kwa mangi bei imendlea kuwa ileile
Viongozi acheni ghiriba kupitia biashara za watu.