Tetesi: ZIKA

mzee wa kijiwe

JF-Expert Member
Jun 25, 2012
947
684
Wana fb mambo?

Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!

Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali

Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale

Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika

Nawasilisha
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Wewe ni Hatari sana.
 
Wana fb mambo?

Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!

Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali

Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale

Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika

Nawasilisha
Wana fb ndio kina nani????
 
Wana fb mambo?

Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!

Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali

Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale

Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika

Nawasilisha
Hakunashaka NA utafitiii... Hatkidogo

Njiailiotumika kutangaza hioondioo iliompigakitasa....

Nakabla yakutangza wizara wanadaii hawakuwa nahioo taarifaa so alitangaza Kama Nani??

Kingine alishaona mama kalizwa kwaajili ya kukimbilia media nahisi ningekuwa mm ningekuwa mjanja Sana NA kuwakimbia haooo media Hali nani badotunkidonda
 
Hakunashaka NA utafitiii... Hatkidogo

Njiailiotumika kutangaza hioondioo iliompigakitasa....

Nakabla yakutangza wizara wanadaii hawakuwa nahioo taarifaa so alitangaza Kama Nani??

Kingine alishaona mama kalizwa kwaajili ya kukimbilia media nahisi ningekuwa mm ningekuwa mjanja Sana NA kuwakimbia haooo media Hali nani badotunkidonda


Wana fb na jf mambo?

Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!

Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali

Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale

Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika

Nawasilisha
 
Wana fb mambo?

Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!

Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali

Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale

Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika

Nawasilisha
66659209f47ac69bb5776b2ce66f7841.jpg
 
Wana fb mambo?

Nasikia zika ipo na imekuwepo tz kwa muda mrefu.
Matokeo ya tafiti yanaonyesha madhara ya zika ni pamoja na watu kuwa na vichwa vidogo hivyo kupelekea uwezo mdogo wa kufikiri na kuchanganua mambo!

Kama hii ni kweli basi kuna uwezekano mkubwa sana zika asili yake ni tz na imekuwepo kwa muda nrefu na hiii ndiyo sababu kubwa ya ccm kupeta ktk chaguzi mbalimbali

Hakuna haja ya kumfukuza kazi Dr Malecela kwa utafiti huu kama hawajaridhika wachukue sample mpya kwa wana ccm wa maeneo tofauti bila kusahau huku jf. Naamini matokeo yatakuwa yaleyale

Zika ipo tz na wana ccm wengi ni waathirika

Nawasilisha
Hahaaaa, a new day has come
 
NAANI ANAWAKUMBUKA WALE WATOTO WATAN WALIOKUWA PALE POSTA NA MAMAYAO WKAHAMIA KARIAKOO BAADAE WALIKUJA BUGURUNI WALIKUWA WATANO BADAE KAKAFA KAMOJA WAKABAKI WANNE

MPAKA WANAKUJABUGURUNI MWINGINE NAE AKAFA WANAVICHWA VIDOGOOOO.. HII NAONGELEA 7YRS AGO.... KWAMNAOENDA MJINI TU MTAWAKUMBUKA

ILE VICHWA NDIOO ZIKA... HAPAKWETU IPO LONGY ILAWANADAWA WANAWAPAGA KUWALINDA.... SOKWANGU NAFIKIRI DK ANGEWASILIANA NAWIZARA YRS AGO WAANGALIE WANAREKEBISHAJE HILI

KIUHALISIA KUTANGAZA ZIKA NCHINI NI MADHARA MAKUBWA KUANZIA WANANCHI MPAKA WANAOTOKA NJE..... NAKAMA ALIJUA IPO MBONA AWAKUSEMA MIAKA YOTE HIO....

NAHISI NIMAWASILIANO TU ELSE SIONI SHIDA SEMA DADA ALIJISAHAU KIDOGO ANGESHIRIKISHA WAZIRI AKUMBUKI MAMA ALIONDOKA NA KITASA SASA MTOTO UNGEISHI KWA AKILI
 
NAANI ANAWAKUMBUKA WALE WATOTO WATAN WALIOKUWA PALE POSTA NA MAMAYAO WKAHAMIA KARIAKOO BAADAE WALIKUJA BUGURUNI WALIKUWA WATANO BADAE KAKAFA KAMOJA WAKABAKI WANNE

MPAKA WANAKUJABUGURUNI MWINGINE NAE AKAFA WANAVICHWA VIDOGOOOO.. HII NAONGELEA 7YRS AGO.... KWAMNAOENDA MJINI TU MTAWAKUMBUKA

ILE VICHWA NDIOO ZIKA... HAPAKWETU IPO LONGY ILAWANADAWA WANAWAPAGA KUWALINDA.... SOKWANGU NAFIKIRI DK ANGEWASILIANA NAWIZARA YRS AGO WAANGALIE WANAREKEBISHAJE HILI

KIUHALISIA KUTANGAZA ZIKA NCHINI NI MADHARA MAKUBWA KUANZIA WANANCHI MPAKA WANAOTOKA NJE..... NAKAMA ALIJUA IPO MBONA AWAKUSEMA MIAKA YOTE HIO....

NAHISI NIMAWASILIANO TU ELSE SIONI SHIDA SEMA DADA ALIJISAHAU KIDOGO ANGESHIRIKISHA WAZIRI AKUMBUKI MAMA ALIONDOKA NA KITASA SASA MTOTO UNGEISHI KWA AKILI
Mapo pale feri kigamboni kila siku utawaona pale! Je hawaambikizi watu wengine?
 
Back
Top Bottom