Zijue Nchi Masikini Zaidi Duniani

Zijue Nchi Masikini Zaidi Duniani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
attachment.php

TAKWIMU za nchi masikini dunian,Tanzania mwaka 2010 ilishika nafasi ya tatu kwa umaskini duniani, lakini Tanz
ania kwa sasa imepiga hatua hata na kwenye 25 Tanzania haimo katika nafasi ya nchi masikini duniani. Tanzania inasemwa kuwa
miongoni mwa nchi zinazokuwa kiuchumi kwa kasi ya juu Africa.
 

Attachments

  • 999422_10151531538950793_1730938891_n.jpg
    999422_10151531538950793_1730938891_n.jpg
    170.2 KB · Views: 6,434
Tanzania ni nchi tajiri sana tena sana lakini mafisadi ndo wengi wa kuirudisha /kuiweka katika kundi maskini. Tuna mbuga, ziwa, Milima, madini n.k lakini bado haitwi tajiri bali wajitajirisha wajanja tu.
 
Uchumi uliokua una faida gani kwa watanzania, wakati maisha ndio yanaendelea kuwa magumu. siasa na uchumi hakika havichagamaniki

ukitumia uongo uongo wanainchi waleo ni waelewa hata kama, kaishia darasa la saba kama mimi
 
Hizo takwimu za kikwete zakuombea misaada kwa wafadhili,rwanda hakuna nyumba ya nyasi,rwanda wanatulisha maharage kwa sasa,ethiopia,mozambique wanapaa kiuchumi sana
 
Utajiri gani wakati wapo wananchi wanaokula mlo mmoja kwa siku. Mounding mbinu bado mbovu. Mahospitali dawa hakuna kisa serilkali inadaiwa. Shuleni wanafunzi bado wanakaa chini. Polisi wanaishi uraiani kisa kituoni hakuna nyumba za kutosha. Waalimu ambao ni kiungo kikubwa sana idai serikali mamilioni ya pesa hawalipwi. Sasa huo utajiri ni upi?
 
Yote hii tusihoji gesi inakoenda.
 
Katika hali ya kawaida kabisa, Tanzania inatakiwa kwa katika orodha ya Nchi 25 tajiri duniani!
 
Mkuu tusaidia kufahamu chanzo cha takwimu hizi naona hapo juu kuna jina la mtu ambaye wengine wetu hatumfahamu, nani ameandaa hizo taarifa na kwa malengo gani?
 
Chanzo cha hizo takwimu ni kipi mkuu? J e , unaamini kuwa Tanzania tayari imeepuka mstari wa kushuka daraja?
 
Last edited by a moderator:
Kuna vitu hapa tunavichanganya sana, Nchi kama Nchi (Tanzania) si maskini, lakini watu wake ndo maskini wakubwa, Kuna nchi kama Rwanda haina Raslimali nyngi lakini wananchi wake angalau wana maisha mazuri, Nchi kama DRC---Kongo hii ilikuwa Vitani muda mrefu sana hatuwezi kuiongelea.
 
Hiyo takwimu itakuwa imeandaliwa kwa msaada wa watu wa marekani na china.
 
Hizo takwimu za kikwete zakuombea misaada kwa wafadhili,rwanda hakuna nyumba ya nyasi,rwanda wanatulisha maharage kwa sasa,ethiopia,mozambique wanapaa kiuchumi sana

Nimeshangazwa pia kwamba South Sudan ni tajiri zaidi ya Ethiopia na Mocambique...sijui hizi data zina ukweli au la!
 
Ahsante Kikwete, wakati wa Nyerere tulikuwa wa kwanza kwa umasikini duniani miaka saba tu alipokuwa Rais.
 
Back
Top Bottom