luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Hapana mdau, izo gari sio za waturuki nahisi ni chombo cha usalam japo sio jeshiStandard gauge railway
Hapana mdau, izo gari sio za waturuki nahisi ni chombo cha usalam japo sio jeshiStandard gauge railway
umeelewa sana point yangu ila unataka kuleta ubishi tuSiyo kila gari lazima namba yake ya usajili iandikwe kwenye kioo/vioo (huko kuandika namba kwenye vioo si utaratibu wa kisheria). Hiyo ya kuandika kwenye vioo ni watu wanaamua tu kwa kulinda vioo vyao visiibiwe. Labda kama ulikua na maana kwenye kioo kwa maana ya windshield, aangalie sticker ya Insurance. Hiyo sticker kwa gari ya serikali hutaiona kwa sababu magari ya serikali hayalipiwi insurance.
Siyo kila gari lazima namba yake ya usajili iandikwe kwenye kioo/vioo (huko kuandika namba kwenye vioo si utaratibu wa kisheria). Hiyo ya kuandika kwenye vioo ni watu wanaamua tu kwa kulinda vioo vyao visiibiwe. Labda kama ulikua na maana kwenye kioo kwa maana ya windshield, aangalie sticker ya Insurance. Hiyo sticker kwa gari ya serikali hutaiona kwa sababu magari ya serikali hayalipiwi insurance.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama TANZANIAKunamoja nimeiona week mbili zilizopita MMM
Hii nayo ni nani
Mtendaji Mkuu wa Mahakama TANZANIA
Uzi mzuri sana ndiyo uzuri wa JFST # A ni magari ya Ikulu
PT ni Police Tanzania na si TP kama ulivyoainisha
DFP ni Donor Funded Project hii ni badala ya TX
SU ni Shirika la Umma
STA,...STG,STH,STK, STJ,...,STZ ni magari ya Idara nyingine za serikali pamoja na wizara
WN (abc) ni waziri wa nchi
W (abc) ni waziri
S ni Spika
NS ni Naibu Spika
JM ni Jaji mkuu
CAG ni Chief Auditor General
hiyo SU ni Shirika la Umma kwahy inaweza ikawa taasisi mbalimbali za Serikali kama NSSF n.kKuna magari nimeona yana mlingoti wa bendera lakini namba zake ni SU, haya yanatumiwa na viongozi gani?
hiyo SU ni Shirika la Umma kwahy inaweza ikawa taasisi mbalimbali za Serikali kama NSSF n.k
DuhRailway asset C
Magar ya shirika la reli Tanzania
TP umeshaiona wp??Hizo ST ni namba zinazowakilisha Serikali Tanzania kwa hiyo J K, just ni series, zilianza na ST, zikaja STA, STB....,STH ilvyoisha ilipaswa kuja STI lakini mara nyingi I na O huwa Zinarukwa kwa sababu ya kufanana na moja na sufuri, kama huo utaratibu hautabadilika basi hizo namba zitaenda mpaka STZ
TP Ni Tanzania Police
Amemaanisha PT (Police Tanzania)TP umeshaiona wp??
Nimeona kweli namba hizo kwenye magari ya serikali, yanayomiliwa na mamlaka ya mapori tengefu (TAWA). Nadhani ni ya serikali piaJU ni plate ya nani?
PT Police of TanzaniaHizo ST ni namba zinazowakilisha Serikali Tanzania kwa hiyo J K, just ni series, zilianza na ST, zikaja STA, STB....,STH ilvyoisha ilipaswa kuja STI lakini mara nyingi I na O huwa Zinarukwa kwa sababu ya kufanana na moja na sufuri, kama huo utaratibu hautabadilika basi hizo namba zitaenda mpaka STZ
TP Ni Tanzania Police
Hilo nalo neno. Baadhi ya taasisi zina namba plate za Kiswahili na nyingine za Kiingereza, kama CS, CAG nk.Nauliza mwisho. Kwa nini kusiwe na consistence kwenye lugha? Kwa mfano: CS- Chief Secretary vs JM- Jaji Mkuu, n.k.