Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,225
TP Ni Tanzania Police
Mkuu umeandika kinyume chake
PT Polisi Tannzani aka piga tu
TP Ni Tanzania Police
Wadau naomba kujuzwa hizi gari zinazoanza na plate namba RAC na plate zake ni kijani. Ni za akina nani hasa?
Rwanda hizoWadau naomba kujuzwa hizi gari zinazoanza na plate namba RAC na plate zake ni kijani. Ni za akina nani hasa?
Kwanini wao hawatumii SU?Hizo ni namba za magari ya Tanzania Railway Corporation. Sijui siku izi inaitwa TRL!!
donor funded projectDFP development Fund Project
kama hujawahi kuona STB hapo ndipo hata umri wako unaweza kujulikana.....kwa taarifa yako nimeona ST then zikaja STA,STB,STC,STD,STE,STF,STG,STH,STJ,STK,STL,Lakini mbona naona STJ nyingi zinatumika na polisi, na STK zinatumika na wengine (especially wizara)?
Pia Sijawahi kuona wala kusikia STB wala STC. Ila ST zipo....na STA sio STA, mara nyingi huwa ST halafu namba, halafu mishwo ndio A.
Naweza kuelewa kuwa ST = Serikali Tanzania ila hizo herufi bado. Naomba mawazo zaidi, kwa wanaofahamu zaidi.
Mkuu Reli tu iwe na gari zake kweli? Kirefu chake ni nini?RAC na DFP are different naona hamjapata lunch nyie ….
RAC = Reli
DFP = Wadau wa Maendeleo
PT = Police
MT= Magereza
JR = Jaji wa Rufaa
J = Jaji Mahakama Kuu
CS = Katibu Mkuu Kiongozi
IGP =Mkuu wa Polisi nk
SijuiKwanini wao hawatumii SU?
kama hujawahi kuona STB hapo ndipo hata umri wako unaweza kujulikana.....kwa taarifa yako nimeona ST then zikaja STA,STB,STC,STD,STE,STF,STG,STH,STJ,STK,STL,