Zijue kampuni zilizowekeza katika mafuta na gesi Tanzania (9) - Statoil

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
statoil.png


Kuvuja kwa nyongeza ya makubaliano katika Mkataba wa Kuchangia Uzalishaji (PSA) kati ya Statoil na Serikali ya Tanzania mwezi Julai 2014, kuliamsha mjadala kama kweli Tanzania ‘ilifaidika’ kwa kutoa kwake haki za uchimbaji katika eneo ambalo sasa linatarajiwa kuzalisha kiasi kikubwa cha gesi asilia.

Kwa habari zaidi kuhusu kampuni hii, soma hapa => Zijue kampuni zilizowekeza katika mafuta na gesi Tanzania (9) – Statoil | Fikra Pevu
 
ziorozeshe hapa, achana na stori za fungua hapa, unataka tukuongezee viewers kwenye blog yako????
 
ziorozeshe hapa, achana na stori za fungua hapa, unataka tukuongezee viewers kwenye blog yako????

yaani nimefungua hakuna kampuni alizoorodhesha zaidi ya kuielezea historia ya statoil, na namna ya makubaliano ya mikataba na serikali, tafauti na title yake.
 
Back
Top Bottom