Zijue kampuni zilizowekeza katika mafuta na gesi Tanzania (18) – Bounty Oil and Gas

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
KISIWA CHA NYUNI.jpg


Uzalishaji wa kwanza wa gesi asilia kwenye kisima cha Kiliwani North-1 (“KN-1”) ulifanyika Aprili 4, 2016 na uzalishaji kamili umepangwa kuanza wakati wowote ambapo futi za ujazo kati ya milioni 25 na 30 (sawa na mapipa 4,000 na 5,000) zitazalishwa kwa siku kwa kipindi cha siku 90 hadi 100.
Hisa za Bounty zitakuwa kati ya mapipa 380 na 475 ya nishati kwa siku.

Habari zaidi soma hapa => Zijue kampuni zilizowekeza katika mafuta na gesi Tanzania (18) – Bounty Oil and Gas | Fikra Pevu
 
Mkuu ni vema mkituwekea na majina ya wenyewe , maana tuliambiwa watanzania hawana uwezo huko kwenye gesi , kwa mujibu wa Mtukufu Muhongo uwezo wa wabongo ni kuuza maandazi , vitumbua na juice tu , hoja yangu ni kwamba tusijemkuta tena lugumi huko , maana naye ni mtanzania .
 
Back
Top Bottom