Zijue barabara kubwa nchini

Zijue barabara kubwa nchini

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,569
Reaction score
21,075
Zingatia T1 ndiyo barabara kongwe na inaanzia Dar Es Salaam mpaka Tunduma Border na kwajina lingine huitwa (TANZAM)

T1 ➡️ Dar es Salaam – Morogoro – Mbeya – Tunduma – Mpaka wa Zambia inapoendelea kama T2 (Zambia) (km 930)

T2 ➡️ Chalinze – Segera – Arusha – Namanga – Mpaka wa Kenya (km 650)

T3 ➡️ Morogoro – Dodoma – Singida – Lusahunga – Rusumo – Mpaka wa Rwanda (km 1100)

T4 ➡️ Mpaka wa Uganda – Mutukula – Biharamulo – Mwanza – Sirari – Mpaka wa Kenya (km 820)

T5 ➡️ Arusha – Dodoma – Iringa (km 690 )

T6➡️ Makambako – Songea – Mingoyo – Mtwara (km 930)

T7➡️ Dar es Salaam – Lindi – Mingoyo (km 480)

T8 ➡️ Mwanza – Nzega – Tabora – Rungwa – Mbeya (km 900)

T9➡️ Biharamulo – Lusahunga – Kanyani – Sumbawanga – Tunduma – Mpaka wa Zambia inapoendelea kama T2 (Zambia) (km 1000)

T10➡️ Mbeya – Kasumulu – Mpaka wa Malawi (km 100)

T11➡️ Nyakasanza – Kabanga – Mpaka wa Burundi (km 60 )

T12➡️ Songea – Mbamba Bay (km 165)

T13 ➡️ Segera – Tanga – Chuyuni – Mpaka wa Kenya (km 135)

T14 ➡️ Singida – Babati (section is currently unpaved (km 145)

T15 ➡️ Himo – Taveta – Mpaka wa Kenya (km 20 )

T16 ➡️ Mikumi – Mahenge (km 260)

T17 ➡️ Makuyuni – Musoma (km 440)

T18 ➡️ Manyoni – Tabora – Kanyani (km 520)

T19 ➡️ Kanyani – Kigoma – Manyovu – Mpaka wa Burundi (km 70)

T20 ➡️ Sumbawanga – Kasesya – Mpaka wa Zambia inapoendelea kama M1 (Zambia)km 100

T21➡️ Himo – Tarakea – Mpaka wa Kenia (km 50)

T22 ➡️ Rungwa – Itigi – Mkiwa (km 200)

T23 ➡️ Mpanda – Ipole (km 280)
 
Zingatia T1 ndiyo barabara kongwe na inaanzia Dar Es Salaam mpaka Tunduma Border na kwajina lingine huitwa (TANZAM)

T1 ➡️ Dar es Salaam – Morogoro – Mbeya – Tunduma – Mpaka wa Zambia inapoendelea kama T2 (Zambia) (km 930)

T2 ➡️ Chalinze – Segera – Arusha – Namanga – Mpaka wa Kenya (km 650)

T3 ➡️ Morogoro – Dodoma – Singida – Lusahunga – Rusumo – Mpaka wa Rwanda (km 1100)

T4 ➡️ Mpaka wa Uganda – Mutukula – Biharamulo – Mwanza – Sirari – Mpaka wa Kenya (km 820)

T5 ➡️ Arusha – Dodoma – Iringa (km 690 )

T6➡️ Makambako – Songea – Mingoyo – Mtwara (km 930)

T7➡️ Dar es Salaam – Lindi – Mingoyo (km 480)

T8 ➡️ Mwanza – Nzega – Tabora – Rungwa – Mbeya (km 900)

T9➡️ Biharamulo – Lusahunga – Kanyani – Sumbawanga – Tunduma – Mpaka wa Zambia inapoendelea kama T2 (Zambia) (km 1000)

T10➡️ Mbeya – Kasumulu – Mpaka wa Malawi (km 100)

T11➡️ Nyakasanza – Kabanga – Mpaka wa Burundi (km 60 )

T12➡️ Songea – Mbamba Bay (km 165)

T13 ➡️ Segera – Tanga – Chuyuni – Mpaka wa Kenya (km 135)

T14 ➡️ Singida – Babati (section is currently unpaved (km 145)

T15 ➡️ Himo – Taveta – Mpaka wa Kenya (km 20 )

T16 ➡️ Mikumi – Mahenge (km 260)

T17 ➡️ Makuyuni – Musoma (km 440)

T18 ➡️ Manyoni – Tabora – Kanyani (km 520)

T19 ➡️ Kanyani – Kigoma – Manyovu – Mpaka wa Burundi (km 70)

T20 ➡️ Sumbawanga – Kasesya – Mpaka wa Zambia inapoendelea kama M1 (Zambia)km 100

T21➡️ Himo – Tarakea – Mpaka wa Kenia (km 50)

T22 ➡️ Rungwa – Itigi – Mkiwa (km 200)

T23 ➡️ Mpanda – Ipole (km 280)
Hiyo TI, Iringa haihesabiki?
 
Mungu ni mwema almost 94% ya hizo barabara nimepita na miji zinapopita nimefika.
 
Na sio Iringa tu hapo sijaiona Pwani Njombe na Songwe.
T haisimami kuwakilisha Mkoa bali inasimamia kuwakilisha mwanzo na mwisho wa barabara. Mara nyingi inawasaidia Wajenzi na wakaguzi wa barabara. Hata watu wa Navigation wakikuambia fuata T 1 wewe ukafuata T2 ushapotea.
 
Back
Top Bottom