Hivi siku mtu akichukuliwa msukule hakuna hata mtu mmoja anaekuja kwenye msiba hashtukii mchezo uliofanyia,au wachawi,waganga na wenye makarama huwa wanashirikiana ?
Je huyo mtu kafa au hajafa? Kama kafa msiba lazima uwepo sasa kama umeshtukia ni kifo cha kimsukule maana yake maiti ni gogo na aliyekufa yupo hapo hapo msibani cha kufanya ni kuwaumbua hao wachawi hapo msibani.
Misukule ya tatu ni mabunge ya ccm yanayopanga kuvunja katiba ili yamlazimishe jiwe afie ikulu mbaya zaidi yanaongozwa na jtu fupi shotii andunje ndugali
Je huyo mtu kafa au hajafa? Kama kafa msiba lazima uwepo sasa kama umeshtukia ni kifo cha kimsukule maana yake maiti ni gogo na aliyekufa yupo hapo hapo msibani cha kufanya ni kuwaumbua hao wachawi hapo msibani.
Je huyo mtu kafa au hajafa? Kama kafa msiba lazima uwepo sasa kama umeshtukia ni kifo cha kimsukule maana yake maiti ni gogo na aliyekufa yupo hapo hapo msibani cha kufanya ni kuwaumbua hao wachawi hapo msibani.
Kwanza wenye uwezo wa kuona ni makonki, sio una uchawi wako wa buku jero huwezi gundua kitu. Na ukiwaumbua lazima ufe si kwa siku ile labda na wewe uwe konki utapona
Kwanza wenye uwezo wa kuona ni makonki, sio una uchawi wako wa buku jero huwezi gundua kitu. Na ukiwaumbua lazima ufe si kwa siku ile labda na wewe uwe konki utapona