Mimi mbona nashindwa kuamini mambo haya
Na akili za kiccm huwezi kuelewa kamwe
Ahaaa misukule ya ccm. Na watu wanafikiri ni utani. Nimewahi kusikiliza ushuhuda ya mchawi lakini alikuwa zaidi ya mchawi tuseme ni "freemason" kwa jinsi watu wanavyoelewa, anasema watu wengi hulogwa wakati wa kupiga kura na pale maelfu ya majini yanapoachiliwa ili kupumbaza watu na hujikuta wakipiga kura bila kuwa na akili zao wenyewe. Akasema amefanya kazi nyingi kwa viongozi wa siasa waliopo leo na alikuwa analipwa mamilioni. Leo ameokoka na enaendelea kufichua siri nyingi sana. Hivyo misukule ya ccma ni kweli ipo manake huwezi kuamini kwanini watu wanaendekeza chama chenye zaidi ya miaka 60 sasa katika hali kubwa ya umaskini.Misukule aina ya nne ni wapiga kura wa chama chakavu!
Walipitia haya mambo sana.Hivi huwa mnajuaje haya jamani???
.somo lako linatufundisha nini?
Ujasiriamali gani tena wakati tayari ameshauelezea ujasiriamali wake? Kazi ya manabii, wachungaji feki, mitume feki na waganga wa kienyeji ndiyo hii i.e. kukujaza hofu na pale unapokuwa na hofu ''wanakupiga'' kama hawana akili nzuri. Simulizi za uchawi zimekuwa nyingi sana siku hizi kwani wajanja wanataka kuwajaza watu hofu na wakishajaa hofu wanapigwa!Haya sasa wenye fani zao wameamua kutufundisha..😂
Mkuu samahani lakini hivi unaujua hata ujasiliamali..??
Ni swali tu tusifikishane mbali..🙏🙏😅
Kwa hiyo mkuu, msukule wa nje anakuwa anaishi kama binadamu wengine ila maisha yake yanakuwa yamefungwa? yaani hafanikiwi kwa lolote...Kuna msukule wa nje na msukule wa ndani.
Msukule wa nje ni yule mtu ambae wachawi humfata usiku na kuchukua kivuli, kucha, nywele na mate alafu wanaenda kumfunga nyota na ridhiki na kufukia katika makaburi.
Huyo atakuwa msukule wa nje hatothaminika na wala hatofanikiwa kwa chochote atakachokifanya.
Msukule wa ndani ni yule ambae wachawi huja usiku na kuweka nafsi yao na kufunga nafsi ya mhusika katika mwili kisha kuondoka.
Ile nafsi itampelekampeleka mhusika na kupelekea kifo (kiinimacho) alafu nafsi itatoka na mwili kwenda mafichoni.
Utabebwa mgomba (maiti) mpaka nyumbani, kile chumba ambacho itakaa maiti ndio chumba ambacho mtu huyo atakaa nyuma ya mlango siku zote za msiba na mkienda kuzika ndo mwili utatolewa kwenda mafichoni.
Mwili huu hautoharibiwa mpaka zifike siku 30 na nafsi ya marehemu itakuwa inahaha kwa ndugu jamaa na marafiki kutafuta msaada ndo hapo unapokuwa unamuota marehemu kila siku.
Nduguyangu unalolisema nisahihi kabisa, mwaka jana mdogowangu kabisa alifariki sasa baada ya muda amekuwa akinitokea analia kabisa.Kuna msukule wa nje na msukule wa ndani.
Msukule wa nje ni yule mtu ambae wachawi humfata usiku na kuchukua kivuli, kucha, nywele na mate alafu wanaenda kumfunga nyota na ridhiki na kufukia katika makaburi.
Huyo atakuwa msukule wa nje hatothaminika na wala hatofanikiwa kwa chochote atakachokifanya.
Msukule wa ndani ni yule ambae wachawi huja usiku na kuweka nafsi yao na kufunga nafsi ya mhusika katika mwili kisha kuondoka.
Ile nafsi itampelekampeleka mhusika na kupelekea kifo (kiinimacho) alafu nafsi itatoka na mwili kwenda mafichoni.
Utabebwa mgomba (maiti) mpaka nyumbani, kile chumba ambacho itakaa maiti ndio chumba ambacho mtu huyo atakaa nyuma ya mlango siku zote za msiba na mkienda kuzika ndo mwili utatolewa kwenda mafichoni.
Mwili huu hautoharibiwa mpaka zifike siku 30 na nafsi ya marehemu itakuwa inahaha kwa ndugu jamaa na marafiki kutafuta msaada ndo hapo unapokuwa unamuota marehemu kila siku.
Wataalam wenyewe wanajua hili changa la macho, ila kile ni chama chao hawawezi muumbua memba. Kuna wengine kukataa unafiki huwa hawaendi kuzikaHivi siku mtu akichukuliwa msukule hakuna hata mtu mmoja anaekuja kwenye msiba hashtukii mchezo uliofanyia,au wachawi,waganga na wenye makarama huwa wanashirikiana ?
Lazima ajifiche, lakini pia inasemekana ukirudi kinyumenyume unamuona laivu na shughuli nzima utakuwa umeharibu.Vipi kama chumba kilichowekwa maiti hakina mlango huyo msukule atakaa wapi?
NB:CCM ndio misukule nambari wani.
Kanda ya ziwa wanaongozaUchawi upo jamani