Zifanyeni kuwa "Sticky"

Masikini_Jeuri

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
6,829
1,296
Posts ya Kwako kinamea kitu gani, na ile ya uchimbaji wa visima............ni issues zitakazoendelea kujadiliwa hapa................nawaombeni mods!
 
mfano leo naihitaji post iliyoongelea uchimbaji wa visima........how do I go about it?
 
zingefanyika "sticky" pia maswala ya ujenzi yote yaunganishwe na umeme-mbadala
kweli tusipate shida ya kutafuta-tafuta inachosha!

MODS...hivi moderator wa hili jukwaa ni nani?
 
Posts ya Kwako kinamea kitu gani, na ile ya uchimbaji wa visima............ni issues zitakazoendelea kujadiliwa hapa................nawaombeni mods!

mkuu kama unakumbuka niliomba tuwe na kajukwaa ka 'ujasiliamali' ndani ya business-and-economic-forum. kuzifanya posts ziwe sticky si suluhisho bado tutaendelea kupoteza taarifa nyingi sana muhimu mfano humu kuna threads zaidi ya 10 kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, kilimo cha nyanya ndio usiseme, ufugaji wa samaki, mbuzi nguruwe.. na mengine mengi sana

MODS TUNAOMBA KAJUKWAA KA UJASILIAMALI tukipata muda tutaendelea kuzitafuta hizo links za zamani na kuzipaste wenyewe
 
ile post ni hii
uzi wa jamaa wa ubuyu hapo chini. Nadhani jukwaa hili kwasasa limekuwa uwanja wa fujo maana post zote zinazohusu makampuni ya simu, siasa uchumi, govt construction plans na hata matajiri wa nje ya tz zote zinahamishiwa huku. Tuwe na jukwaa la ujasiliamali/wajasiliamali ndani ya business-and-economic-forum ili tusipoteze taarifa muhimu

Topic: Kwenu kinaota/kinamea au kustawi kitu gani? link yake hapo chini
https://www.jamiiforums.com/busines...enu-kinaota-kinamea-au-kustawi-kitu-gani.html
 
mkuu kama unakumbuka niliomba tuwe na kajukwaa ka 'ujasiliamali' ndani ya business-and-economic-forum. kuzifanya posts ziwe sticky si suluhisho bado tutaendelea kupoteza taarifa nyingi sana muhimu mfano humu kuna threads zaidi ya 10 kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, kilimo cha nyanya ndio usiseme, ufugaji wa samaki, mbuzi nguruwe.. na mengine mengi sana

MODS TUNAOMBA KAJUKWAA KA UJASILIAMALI tukipata muda tutaendelea kuzitafuta hizo links za zamani na kuzipaste wenyewe

Mkuu

naunga mkono hoja
 
Na mimi naunga mkono hoja ili tuokoe muda, mashine zingine kufungua ukurasa tu issue, sembuse kutafutathread ya kale!
Mods tuoneeni huruma.

Wasipoona huruma itabidi wachukuliwe hatua kali. Ukizingatia wengine tunatumia simu za tochi!
 
Back
Top Bottom