Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Posts ya Kwako kinamea kitu gani, na ile ya uchimbaji wa visima............ni issues zitakazoendelea kujadiliwa hapa................nawaombeni mods!
Posts ya Kwako kinamea kitu gani, na ile ya uchimbaji wa visima............ni issues zitakazoendelea kujadiliwa hapa................nawaombeni mods!
uzi wa jamaa wa ubuyu hapo chini. Nadhani jukwaa hili kwasasa limekuwa uwanja wa fujo maana post zote zinazohusu makampuni ya simu, siasa uchumi, govt construction plans na hata matajiri wa nje ya tz zote zinahamishiwa huku. Tuwe na jukwaa la ujasiliamali/wajasiliamali ndani ya business-and-economic-forum ili tusipoteze taarifa muhimu
mkuu kama unakumbuka niliomba tuwe na kajukwaa ka 'ujasiliamali' ndani ya business-and-economic-forum. kuzifanya posts ziwe sticky si suluhisho bado tutaendelea kupoteza taarifa nyingi sana muhimu mfano humu kuna threads zaidi ya 10 kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, kilimo cha nyanya ndio usiseme, ufugaji wa samaki, mbuzi nguruwe.. na mengine mengi sana
MODS TUNAOMBA KAJUKWAA KA UJASILIAMALI tukipata muda tutaendelea kuzitafuta hizo links za zamani na kuzipaste wenyewe
Haya wote mliounga mkono hoja ...................ziwapi likes zangu bana! lol
Haya wote mliounga mkono hoja ...................ziwapi likes zangu bana! lol
We nawe: Mpaka uzidai? Likes huwa zinakuja zenyewe bana. Tah teh teh
likes siku hizi zina expire date.
Wakuu,
Jukwaa la Ujasiriamali limetengenezwa.
Na mimi naunga mkono hoja ili tuokoe muda, mashine zingine kufungua ukurasa tu issue, sembuse kutafutathread ya kale!
Mods tuoneeni huruma.
Wakuu,
Jukwaa la Ujasiriamali limetengenezwa.