YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,905
Lisu hata ubelgiji ana hirizi mwangalie alifanya mazoezi picha zakeBila kujali kama Lissu amevaa hirizi kweli ama la. Huku Africa watu wanaenda kwenye hizo dini zilizoletwa kwa meli kama fashion tu, ushirikina huku ndio mpango mzima. Kama huamini angalia waliokwenda kwenye kikombe cha babu ndio utajua mwafrika hata asome vipi, ushirikina ndio mpango mzima. Nilishuhudia kwa babu wa Loliondo kuanzia viongozi wa dini, maprofessor na Doctors wote wakienda kwenye ile tiba ambayo kwangu ilikuwa ni ushirikina persee. Japo wewe ni mmbea lakini naomba iishie humu humu, nakuuma sikio wala Polepole usimuonyeshe, hata Magu alienda. Hii ni siri yako maana sina hela za fine kwa ajili ya uchochezi.