Ziara ya Trump China, Boeing yaula

Ziara ya Trump China, Boeing yaula

Mkuu hayo matusi sasa...
Ila huyu mjinga acha waendelee kumdharau tu ila ukweli anaifanya America kuwa Great Again. Tangu ameingia huko kote alikoenda hajatoa msaada wa hata sumni. Badala yake kila anakopita anaiingizia Marekani millions of us$. Hata akija huko Tanzania atahakikisha mnaingia mkataba wa mabilioni wa kununua hata sindano za vyerehani huko marekani. Ninyi si mnadai vyerehani vinne vinatosha kuwa viwanda vya kushonea viraka.
Na zaidi jamaa ile misaada inayotolewa na marekani anataka kui downsize kwa 30%
 
Back
Top Bottom