Ziara ya Trump China, Boeing yaula

Ziara ya Trump China, Boeing yaula

Kwa Mbekianeno hayo machafu "sisi" wewe haupo!. Je wewe umefanyia nini Tanzania?
Mbekianeno ndio lugha gani?

Mimi sipigi kelele wala kujisifia kununua bombadia 4 Tena kwa kuhangaika kweli mwaka 2017 miaka 56 baada ya kujitawala. Ninaona aibu kujisifia hilo japo ni mTanzania kwa kuzaliwa na kiasili kabisa.
 
Sasa china si na wao wameanzisha kampuni yao ya ndege C900 model kama ntakua sijakosea? walikuwa waoneshe support kwa home grown company kuliko kununua nje
 
Sasa china si na wao wameanzisha kampuni yao ya ndege C900 model kama ntakua sijakosea? walikuwa waoneshe support kwa home grown company kuliko kununua nje
Ile ndege yao walioitengeneza mpaka leo bado ipo kwenye majaribio.
Itachukua mda kidogo kuja kushindana na akina Airbus na Boeing.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ila me nadhani elfu saba itapendeza zaidi
433ca694d4c5c5e6511bdf060985261c.jpg

I can't with you! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sasa china si na wao wameanzisha kampuni yao ya ndege C900 model kama ntakua sijakosea? walikuwa waoneshe support kwa home grown company kuliko kununua nje


HABARI,
"chilubi,

Kweli Comac C919 ni model ya ndege iliyotengenezwa na comac ya china ni kweli wanaweza kutengneza zao ila kwa ndege hizi za china kwanza zinabeba watu sio zaidi ya 200Na pia kampuni zao hazina uzoefu wa kutengeneza ndege za abiria kubwa kama boing hizo ndege za c919 mpaka sasa zimetengenezwa 2 tu ndege za kwanza kwa c900 series ilirukwa may 5 2017 wakati boing imeanzishwa july 15 1916 na William Boeng , mpaka sasa wana zaidi ya ndege 10000 zimetengeneza na kilwa mwaka zaidi ya ndege 500 pamoja na za kijeshi.Pia inatengeneza maroketi yanayotumika kurushia satellite pampoja na satellite zenyewe pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza ndege vinavyo tunika na makampuni mbali mbali ya kutengeneza ndege duniani kwenye swala la tekinologia ya ndege hapo boing ndio baba yao.Pia mataifa makubwa duniani lazima wapeani biashara sio mwenzako awe tegemezi kwako kwa kila kitu leo marekani zaidi ya 70% ya bidhaaa vya kieletronic zinatoka china kwahiyo lazima pia china naye anunue vitu toka marekani ndohiyo sasa.Na sio kama china hawezi kutengeneza ndege zake kubwa hapana ila wanachofanya ni uwiano wa biashara.

LUMUMBA
 
Ile ndege yao walioitengeneza mpaka leo bado ipo kwenye majaribio.
Itachukua mda kidogo kuja kushindana na akina Airbus na Boeing.

HABARI,
"ze kokuyo,
Ni kweli ila kuchukua muda sio kidogo itachekua muda sana na hata sasa katika aviation industry nchi nyingi na matajiri wengi wanaoiliki makampui na hata airia wanatrust sawa shirika ambalo tayari liko vizuri kwa muda mrefu kwa rekodi na pia lenye technologia ya juu.Na hata boing pia wanaheshimu pia makampui yanayoyengeneza baadhi ya vifaa vinavyo tumika kwenye hizo ndege zao sio kwamba wao hawawezi la hayo makampun yamesha anza muda ma kufanya majaribio na yanaaminika mfano Ingini zao zote Boing wananunua kwa hasa makampuni matatu makubwa ambayo Rolls-Royce,Pratt & Whitney na General Electric na hata airbus nao wananunua sana kwa hawa jamaa.Na pia kuna matoleo ya ingine ambazo nazo zote ni muungano kati ya haya makampui yakatoa ingine.

LUMUMBA
 
Back
Top Bottom